Fermer le panneau de recherche

Appuyez sur Entrée pour rechercher ou ESC pour annuler.

1 Timothée 2.5
Bible en Swahili de l’est


Prière et attitudes dans l’Église

1 Basi, kabla ya mambo yote, nataka dua, na sala, na maombezi, na shukrani, zifanyike kwa ajili ya watu wote;
2 Timothée 2.24 1 Timothée 2.4 Tite 3.2 Jacques 5.16 Actes 17.30
2 kwa ajili ya wafalme na wote wenye mamlaka, tuishi maisha ya utulivu na amani, katika utauwa wote na ustahivu.
Esdras 6.10 Jérémie 29.7 1 Thessaloniciens 4.11 Romains 13.1-13.7 Proverbes 24.21
3 Hili ni zuri, nalo lakubalika mbele za Mungu Mwokozi wetu;
1 Timothée 1.1 Luc 1.47 1 Timothée 5.4 Esaïe 45.21 Hébreux 13.16
4 ambaye hutaka watu wote waokolewe, na kupata kujua yaliyo kweli.
Ezéchiel 18.32 Ezéchiel 18.23 2 Pierre 3.9 Tite 2.11 2 Timothée 2.25
5 Kwa sababu Mungu ni mmoja, na mpatanishi kati ya Mungu na wanadamu ni mmoja, Mwanadamu Kristo Yesu;
Galates 3.20 1 Corinthiens 8.6 Esaïe 44.6 Hébreux 7.25 Deutéronome 6.4
6 ambaye alijitoa mwenyewe kuwa ukombozi kwa ajili ya wote, utakaoshuhudiwa kwa majira yake.
Matthieu 20.28 1 Timothée 6.15 1 Corinthiens 1.6 Tite 1.3 Galates 4.4
7 Nami kwa ajili ya huo naliwekwa niwe mhubiri na mtume, (nasema kweli, sisemi uongo), mwalimu wa Mataifa katika imani na kweli.
2 Timothée 1.11 Actes 9.15 Ephésiens 3.7-3.8 Romains 9.1 2 Pierre 2.5
8 Basi, nataka wanaume wasalishe kila mahali, huku wakiinua mikono iliyotakata pasipo hasira wala majadiliano.
Psaumes 134.2 Psaumes 63.4 Jérémie 7.9-7.10 Jean 4.21 1 Timothée 5.14
9 Vivyo hivyo wanawake na wajipambe kwa mavazi ya kujisitiri, pamoja na adabu nzuri, na moyo wa kiasi; si kwa kusuka nywele, wala kwa dhahabu na lulu, wala kwa nguo za thamani;
Proverbes 31.22 Esaïe 3.16 Jérémie 2.32 1 Pierre 3.3-3.5 Proverbes 7.10
10 bali kwa matendo mema, kama iwapasavyo wanawake wanaoukiri uchaji wa Mungu.
Actes 9.36 Ephésiens 2.10 Actes 9.39 2 Pierre 3.11 1 Pierre 2.12
11 Mwanamke na ajifunze katika utulivu, akitii kwa kila namna.
1 Corinthiens 14.34-14.35 Genèse 3.16 Esther 1.20 Colossiens 3.18 1 Pierre 3.1
12 Simpi mwanamke ruhusa ya kufundisha, wala kumtawala mwanamume, bali awe katika utulivu.
1 Corinthiens 14.34
13 Kwa maana Adamu ndiye aliyeumbwa kwanza, na Hawa baadaye.
Genèse 2.18 1 Corinthiens 11.8-11.9 Genèse 2.22 Genèse 2.7 Genèse 1.27
14 Wala Adamu hakudanganywa, ila mwanamke alidanganywa kabisa akaingia katika hali ya kukosa.
Genèse 3.6 2 Corinthiens 11.3 Genèse 3.12-3.13
15 Walakini ataokolewa kwa uzazi wake, kama wakidumu katika imani na upendo na utakaso, pamoja na moyo wa kiasi.
1 Pierre 4.7 1 Timothée 2.9 1 Timothée 1.5 Tite 2.12 Genèse 3.15-3.16

Cette Bible est dans le domaine public.