Rappel des promesses de Dieu à David
 1 Bwana, umkumbukie Daudi Taabu zake zote alizotaabika.
Psaumes 121.1  Psaumes 120.1  Psaumes 130.1  Exode 2.24  Psaumes 129.1  
 2 Ndiye aliyemwapia Bwana, Akaweka nadhiri kwa Shujaa wa Yakobo.
Genèse 49.24  Psaumes 50.1  Esaïe 49.26  Psaumes 146.5-146.6  Psaumes 56.12  
 3 Sitaingia hemani mwa nyumba yangu, Wala sitapanda matandiko ya kitanda changu;
Ecclésiaste 9.10  Matthieu 6.33  Aggée 1.4  
 4 Sitaacha macho yangu kuwa na usingizi, Wala kope zangu kusinzia;Proverbes 6.4  Ruth 3.18  Genèse 24.33  
 5 Hata nitakapompatia Bwana mahali, Na Shujaa wa Yakobo maskani.
1 Chroniques 22.7  Ephésiens 2.22  1 Rois 8.27  Actes 7.46-7.49  2 Chroniques 2.6  
 6 Tazama, tulisikia habari zake katika Efrata, Katika konde la Yearimu tuliiona.
1 Samuel 17.12  1 Samuel 7.1  Michée 5.2  Ruth 1.2  Genèse 35.19  
 7 Na tuingie katika maskani yake, Tusujudu penye kiti cha kuwekea miguu yake.
Psaumes 99.5  Psaumes 5.7  Esaïe 2.3  Psaumes 122.1  Psaumes 95.6  
 8 Ee Bwana, uinuke, uende kwenye raha yako, Wewe na sanduku la nguvu zako.
2 Chroniques 6.41-6.42  Psaumes 68.1  Nombres 10.35-10.36  Psaumes 78.61  
 9 Makuhani wako na wavikwe haki, Watauwa wako na washangilie.
Psaumes 132.16  Job 29.14  Esaïe 61.10  Esdras 3.11-3.12  1 Pierre 5.5  
 10 Kwa ajili ya Daudi, mtumishi wako, Usiurudishe nyuma uso wa masihi
2 Rois 19.34  1 Rois 11.34  Psaumes 89.38-89.39  Psaumes 84.9  1 Rois 15.4-15.5  
 11 Bwana amemwapia Daudi neno la kweli, Hatarudi nyuma akalihalifu, Baadhi ya wazao wa mwili wako Nitawaweka katika kiti chako cha enzi.
2 Samuel 7.12  Psaumes 89.3-89.4  2 Chroniques 6.16  Actes 2.30  Psaumes 110.4  
 12 Wanao wakiyashika maagano yangu, Na shuhuda nitakazowafundisha; Watoto wao nao wataketi Katika kiti chako cha enzi milele.
Psaumes 89.30-89.35  Esaïe 59.21  Actes 2.30  Psaumes 115.14  Psaumes 102.28  
 13 Kwa kuwa Bwana ameichagua Sayuni, Ameitamani akae ndani yake.
Psaumes 68.16  Psaumes 76.1-76.2  Psaumes 78.68-78.69  Hébreux 12.22  Psaumes 48.1-48.3  
 14 Hapo ndipo mahali pangu pa raha milele, Hapo nitakaa kwa maana nimepatamani.
Esaïe 66.1  Psaumes 132.8  Psaumes 135.21  Psaumes 68.18  1 Rois 8.13  
 15 Hakika nitavibariki vyakula vyake Wahitaji wake nitawashibisha chakula.
Psaumes 147.14  Jérémie 31.14  Matthieu 14.19-14.21  Psaumes 22.26  Proverbes 3.9-3.10  
 16 Na makuhani wake nitawavika wokovu, Na watauwa wake watashangilia.
2 Chroniques 6.41  Psaumes 132.9  Zacharie 9.9  Esaïe 61.10  Osée 11.12  
 17 Hapo nitamchipushia Daudi pembe, Na taa nimemtengenezea masihi wangu.
Ezéchiel 29.21  Luc 1.69  2 Chroniques 21.7  1 Rois 11.36  1 Rois 15.4  
 18 Adui zake nitawavika aibu, Bali juu yake taji yake itasitawi.
Job 8.22  Psaumes 109.29  Psaumes 35.26  Psaumes 21.8-21.9  Esaïe 9.6-9.7