Fermer le panneau de recherche

Appuyez sur Entrée pour rechercher ou ESC pour annuler.

Job 37.4
Bible en Swahili de l’est


1 Moyo wangu hunitetema kwayo pia, Nao hutoka mahali pake.
Jérémie 5.22 Psaumes 119.120 Actes 16.26 Actes 16.29 Job 21.6
2 Zisikizeni hizo kelele za sauti yake, Na uvumi utokao kinywani mwake.
Job 37.5 Psaumes 29.3-29.9 Job 36.33 Exode 19.16-19.19 Psaumes 104.7
3 Yeye huituma iende chini ya mbingu zote, Na radi yake hata miisho ya nchi.
Job 38.13 Matthieu 24.27 Esaïe 11.12 Psaumes 97.4 Apocalypse 11.19
4 Baadaye sauti hunguruma; Yeye hunguruma kwa sauti ya ukuu wake; Hazizuii hapo sauti yake isikiwapo.
Psaumes 68.33 Psaumes 29.3-29.9 Job 36.27-36.33 Exode 15.7-15.8 Deutéronome 33.26
5 Mungu hunguruma kwa kustaajabisha kwa sauti yake; Hufanya mambo makuu, ambayo hatuwezi kuelewa nayo.
Job 5.9 Job 26.14 Job 36.26 Job 9.10 Job 11.7
6 Kwani huiambia theluji, Anguka juu ya nchi; Na vivyo manyonyota ya mvua, Na hayo maji ya mvua yake kubwa.
Job 38.22 Job 36.27 Psaumes 147.16-147.18 Ezéchiel 13.11 Genèse 7.10-7.12
7 Huufunga mkono wa kila binadamu; Ili watu wote aliowaumba wajue.
Psaumes 109.27 Psaumes 111.2 Psaumes 92.4 Job 36.24 Job 5.12
8 Hapo wanyama huingia mafichoni, Na kukaa katika mapango yao.
Psaumes 104.22 Job 38.40
9 Dhoruba hutoka katika vyumba vyake; Na baridi ghalani mwake.
Job 9.9 Esaïe 21.1 Zacharie 9.14 Job 38.1 Psaumes 104.3
10 Barafu huletwa kwa pumzi za Mungu; Na upana wa maji huganda.
Job 38.29-38.30 Psaumes 147.16-147.18 Psaumes 78.47
11 Naam, huyatweka mawingu mazito mzigo wa maji; Hulitandika wingu la umeme wake;
Job 36.32 Job 36.27-36.30 Matthieu 17.5 Esaïe 18.4
12 Nalo hugeuzwa huku na huku kwa uongozi wake, Ili yafanye yote atakayoyaagiza Juu ya uso wa dunia hii ikaayo watu;
Psaumes 148.8 Psaumes 104.24 Jacques 5.17-5.18 Apocalypse 11.6 Psaumes 65.9-65.10
13 Kama ni kwa kuonya, au kama ni kwa nchi yake, Au kama ni kwa rehema, ndiye aletaye.
1 Rois 18.45 Job 38.26-38.27 1 Samuel 12.18-12.19 Job 36.31 Esdras 10.9
14 Sikiliza neno hili, Ee Ayubu; Simama kimya, uzifikiri kazi za Mungu za ajabu.
Psaumes 111.2 Psaumes 145.10-145.12 Exode 14.13 Psaumes 145.5-145.6 Psaumes 46.10
15 Je! Wajua wewe jinsi Mungu anavyoziagiza, Na kuumulikisha umeme wa wingu lake?
Job 28.24-28.27 Job 34.13 Job 38.4-38.41 Esaïe 40.26 Job 37.11
16 Je! Wajua jinsi mawingu yalivyowekwa sawasawa, Hizo kazi za ajabu za huyo mkamilifu wa maarifa?
Job 36.4 Psaumes 147.5 Job 36.29 Proverbes 3.19-3.20 Esaïe 40.22
17 Jinsi nguo zako zilivyo na moto, Hapo nchi ituliapo kwa sababu ya upepo wa kusini?
Psaumes 147.18 Luc 12.55 Job 6.17 Job 38.31
18 Je! Waweza kuzitandaza mbingu pamoja naye, Ambazo zina nguvu kama kioo cha kuyeyushwa?
Esaïe 44.24 Psaumes 104.2 Exode 38.8 Proverbes 8.27 Psaumes 148.4-148.6
19 Utufundishe ni maneno gani tutakayomwambia; Kwa maana hamwezi kuyatengeza kwa sababu ya giza.
Psaumes 73.22 Job 13.3 1 Jean 3.2 Job 13.6 Job 26.14
20 Je! Aambiwe kwamba nataka kunena? Au mtu angetamani kumezwa?
Job 11.7-11.8 Matthieu 12.36-12.37 Psaumes 139.4 Job 6.3
21 Na sasa watu hawawezi kuutazama mwanga ung’aao mbinguni; Lakini upepo ukipita huzitakasa.
Job 38.25 Job 26.9 Job 36.32
22 Kaskazini hutokea umemetufu wa dhahabu; Mungu huvikwa ukuu utishao.
Psaumes 104.1 Jude 1.25 Psaumes 29.4 Psaumes 93.1 Job 40.10
23 yeye Mwenyezi hamwezi kumwona; Yeye ni mkuu mwenye uweza; Tena mwenye hukumu, na mwingi wa haki, hataonea.
1 Timothée 6.16 Job 9.4 Job 36.5 Psaumes 99.4 Romains 11.33
24 Kwa hiyo watu humwogopa; Yeye hawaangalii walio na hekima mioyoni.
Matthieu 10.28 1 Corinthiens 1.26 Job 5.13 Esaïe 5.21 Psaumes 130.4

Cette Bible est dans le domaine public.