1 Mbona nyakati zisiwekwe na Mwenyezi? Na hao wamjuao mbona hawazioni siku zake?
Actes 1.7  2 Pierre 3.7-3.8  Ecclésiaste 8.6-8.7  Ecclésiaste 3.17  Romains 2.5  
 2 Wako waziondoao alama za mipaka; Huyachukua makundi kwa jeuri na kuyalisha.
Deutéronome 19.14  Deutéronome 27.17  Proverbes 23.10  Proverbes 22.28  Job 1.15  
 3 Humfukuza punda wake asiye baba, Humtwaa rehani ng’ombe wake mwanamke mjane.
Deutéronome 24.6  Job 31.16-31.17  1 Samuel 12.3  Deutéronome 24.10-24.13  Job 22.6-22.9  
 4 Humgeuza mhitaji aiache njia; Maskini wa nchi hujificha pamoja.
Proverbes 28.28  Job 24.14  Amos 2.7  Job 30.25  Job 29.12  
 5 Tazama, kama punda-mwitu jangwani Wao hutoka kwenda kazini mwao, wakitafuta chakula kwa bidii; Jangwa huwapa chakula cha watoto wao.
Job 39.5-39.7  Psaumes 104.23  Proverbes 4.16  Sophonie 3.3  Genèse 27.40  
 6 Hukata nafaka zao mashambani; Na kuokota zabibu za waovu.
Deutéronome 28.33  Juges 6.3-6.6  Deutéronome 28.51  Michée 6.15  
 7 Hujilaza usiku kucha uchi pasipo nguo, Wala hawana cha kujifunika baridi.
Exode 22.26-22.27  Job 22.6  Deutéronome 24.11-24.13  Actes 9.31  Job 31.19-31.20  
 8 Hutota kwa manyunyo ya milimani, Na kuambatana na jabali kwa kukosa sitara,
Lamentations 4.5  Hébreux 11.38  Cantique 5.2  
 9 Wako wamwondoao matitini kwa nguvu huyo asiye na baba, Na kutwaa rehani kwa maskini;
Néhémie 5.5  2 Rois 4.1  
 10 Hata wazunguke uchi pasipo mavazi, Nao wakiwa na njaa huchukua miganda;
Amos 2.7-2.8  Amos 5.11-5.12  Deutéronome 24.19  
 11 Hushindika mafuta ndani ya makuta ya watu hao; Wakanyaga mashinikizo, nao wana kiu.
Jacques 5.4  Jérémie 22.13  Deutéronome 25.4  
 12 Watu huugua toka mji ulio na watu wengi, Na roho yake aliyejeruhiwa hupiga ukelele; Wala Mungu hauangalii upumbavu.
Ecclésiaste 4.1  Esaïe 52.5  Psaumes 69.26  Exode 1.13-1.14  Juges 10.16  
 13 Hawa ni katika hao waliouasi mwanga; Hawazijui njia zake, Wala hawakai katika mapito yake.
Jean 3.19-3.20  Jean 12.40  Jean 8.44  Jean 8.31  1 Jean 2.19  
 14 Mwuaji huamka asubuhi kukipambauka, huwaua maskini na wahitaji; Tena wakati wa usiku yu kama mwivi.
1 Thessaloniciens 5.2  Ephésiens 5.7-5.11  2 Samuel 11.14-11.17  Apocalypse 3.3  Psaumes 10.8-10.10  
 15 Tena jicho lake mzinifu hungojea wakati wa giza-giza, Akisema, Hapana jicho litakaloniona; Naye huuficha uso wake.
Psaumes 10.11  Proverbes 7.9-7.10  Psaumes 73.11  2 Samuel 11.4-11.13  Exode 20.14  
 16 Wao hutoboa nyumba gizani; Hujifungia ndani wakati wa mchana; Hawaujui mwanga.
Jean 3.20  Exode 22.2-22.3  Job 38.12-38.13  Ezéchiel 12.5-12.7  Job 24.13  
 17 Kwani asubuhi kwao wote ni kama giza tupu; Kwani wao wavijua vitisho vya hiyo giza tupu.
Job 3.5  Apocalypse 6.16-6.17  2 Corinthiens 5.10-5.11  Psaumes 73.18-73.19  Jérémie 2.26  
 18 Mwasema, Yeye ni mwepesi juu ya uso wa gharika; Sehemu yao inalaaniwa duniani; Hageuki kwenda njia ya mizabibuni.
Malachie 2.2  Job 22.16  Psaumes 73.18-73.20  Esaïe 23.10  Psaumes 58.7  
 19 Chaka na hari hukausha maji ya theluji; Kuzimu nako hao ambao wamefanya dhambi.
Psaumes 49.14  Job 21.13  Luc 12.20  Job 21.23  Job 6.15-6.17  
 20 Tumbo lililomzaa litamsahau; buu litamla na kuona tamu; Hatakumbukwa tena; Na udhalimu utavunjwa kama mti.
Daniel 4.14  Proverbes 10.7  Job 18.16-18.17  Ecclésiaste 8.10  Job 14.7-14.10  
 21 Naam, yeye huwala walio tasa wasiozaa; Wala hamtendei mema mwanamke mjane.
Job 29.13  Job 24.3  Job 31.16-31.18  1 Samuel 1.6-1.7  Job 22.9  
 22 Lakini Mungu huwadumisha wenye uwezo kwa nguvu zake; Huinuka, wasiokuwa na tumaini la kuishi.
Daniel 6.4-6.9  Esther 3.8-3.10  Apocalypse 16.13-16.14  Apocalypse 17.2  Jean 19.12-19.16  
 23 Huwapa kuwa na salama, nao wapumzika kwayo; Na macho yake ya juu ya njia zao.
Apocalypse 2.23  Proverbes 15.3  Jérémie 12.1-12.3  Psaumes 10.13-10.14  Psaumes 11.4-11.5  
 24 Wao wametukuzwa; lakini kitambo kidogo hutoweka; Naam, hushushwa, na kuondolewa njiani kama wengine wote, Nao hukatwa kama vile masuke ya ngano.
Psaumes 37.10  Psaumes 73.19  Jacques 1.11  Job 20.5  Psaumes 37.35-37.36  
 25 Na kama sivyo sasa, ni nani atakayenihukumu kuwa ni mwongo, Na kuyafanya maneno yangu kuwa si kitu?Job 9.24  Job 15.2  Job 6.28  Job 27.4  Job 11.2-11.3