Fermer le panneau de recherche

Appuyez sur Entrée pour rechercher ou ESC pour annuler.

Psaumes 9.4
Bible en Swahili de l’est


Le jugement de Dieu sur les nations

1 Nitamshukuru Bwana kwa moyo wangu wote; Nitayasimulia matendo yako yote ya ajabu;
Psaumes 86.12 Psaumes 145.1-145.3 Psaumes 111.1 Psaumes 138.1 Psaumes 146.1-146.2
2 Nitafurahi na kukushangilia Wewe; Nitaliimbia jina lako, Wewe Uliye juu.
Psaumes 5.11 Psaumes 83.18 Psaumes 7.17 Psaumes 92.1 Psaumes 56.2-56.3
3 Kwa sababu adui zangu hurudi nyuma; Hujikwaa na kuangamia mbele zako.
Apocalypse 6.12-6.17 Apocalypse 20.11 Psaumes 68.1-68.2 2 Thessaloniciens 1.9 Psaumes 76.7
4 Kwa maana umenifanyia hukumu na haki Umeketi kitini pa enzi ukihukumu kwa haki.
Psaumes 140.12 1 Pierre 2.23 Psaumes 89.14 Psaumes 16.5 Esaïe 11.4
5 Umewakemea mataifa; Na kumwangamiza mdhalimu; Umelifuta jina lao milele na milele;
Proverbes 10.7 Deutéronome 9.14 2 Samuel 5.6-5.16 Psaumes 2.8-2.9 2 Samuel 21.15-21.22
6 Adui wamekoma na kuachwa ukiwa milele. Nayo miji yao uliing’oa; Hata kumbukumbu lao limepotea.
Esaïe 14.6-14.8 Psaumes 46.9 Jérémie 51.25 Apocalypse 20.2 Nahum 1.9-1.13
7 Bali Bwana atakaa milele, Ameweka kiti chake tayari kwa hukumu.
Psaumes 102.24-102.27 Psaumes 50.3-50.5 Apocalypse 20.11 Hébreux 13.8 2 Pierre 3.8
8 Naye atauhukumu ulimwengu kwa haki; Atawaamua watu kwa adili.
Psaumes 96.13 Psaumes 98.9 Genèse 18.25 Psaumes 99.4 Apocalypse 20.12-20.13
9 Bwana atakuwa ngome kwake aliyeonewa, Naam, ngome kwa nyakati za shida.
Psaumes 32.7 Proverbes 18.10 Psaumes 91.1-91.2 Hébreux 6.18 Psaumes 62.8
10 Nao wakujuao jina lako wakutumaini Wewe, Maana Wewe, Bwana hukuwaacha wakutafutao.
Psaumes 91.14 2 Timothée 1.12 2 Corinthiens 1.9-1.10 Proverbes 18.10 Esaïe 26.3-26.4
11 Mwimbieni Bwana akaaye Sayuni, Yatangazeni kati ya watu matendo yake.
Psaumes 107.22 Psaumes 76.2 Psaumes 66.5 Esaïe 14.32 Psaumes 96.1-96.2
12 Maana mlipiza kisasi cha damu awakumbuka, Hakukisahau kilio cha wanyonge.
Genèse 9.5 Psaumes 34.6 Exode 3.7 Luc 11.50-11.51 Exode 3.9
13 Wewe, Bwana, unifadhili, Tazama mateso niteswayo na wanaonichukia; Wewe uniinuaye katika malango ya mauti,
Psaumes 86.13 Psaumes 30.3 Psaumes 25.19 Psaumes 56.13 Psaumes 119.132
14 Ili nizisimulie sifa zako zote; Katika malango ya binti Sayuni Nitaufurahia wokovu wako.
Psaumes 13.5 Psaumes 51.12 Psaumes 20.5 Psaumes 35.9 Psaumes 106.2
15 Mataifa wamezama katika shimo walilolifanya; Kwa wavu waliouficha imenaswa miguu yao.
Psaumes 57.6 Psaumes 7.15-7.16 Psaumes 35.8 Psaumes 94.23 Proverbes 22.8
16 Bwana amejidhihirisha na kutekeleza hukumu; Amemnasa mdhalimu kwa kazi ya mikono yake.
Exode 7.5 Exode 14.4 Proverbes 12.13 Psaumes 48.11 Josué 2.10-2.11
17 Wadhalimu watarejea kuzimu, Naam, mataifa yote wanaomsahau Mungu.
Psaumes 50.22 Job 8.13 Apocalypse 20.15 2 Thessaloniciens 1.7-1.9 Romains 2.8-2.9
18 Kwa maana mhitaji hatasahauliwa daima; Matumaini ya wanyonge hayatapotea milele.
Proverbes 23.18 Psaumes 12.5 Psaumes 9.12 Proverbes 24.14 Psaumes 72.12-72.14
19 Bwana, usimame, mwanadamu asipate nguvu, Mataifa wahukumiwe mbele zako.
Psaumes 3.7 Psaumes 68.1-68.2 Psaumes 149.7 Psaumes 7.6 Michée 5.15
20 Bwana, uwawekee kitisho, Mataifa na wajijue kuwa ni binadamu.
Esaïe 31.3 Psaumes 62.9 Psaumes 82.6-82.7 Psaumes 76.12 Ezéchiel 30.13

Cette Bible est dans le domaine public.