Fermer le panneau de recherche

Appuyez sur Entrée pour rechercher ou ESC pour annuler.

Psaumes 9.13
Bible en Swahili de l’est


Le jugement de Dieu sur les nations

1 Nitamshukuru Bwana kwa moyo wangu wote; Nitayasimulia matendo yako yote ya ajabu;
Psaumes 86.12 Psaumes 145.1-145.3 Psaumes 146.1-146.2 Psaumes 111.1 Psaumes 138.1
2 Nitafurahi na kukushangilia Wewe; Nitaliimbia jina lako, Wewe Uliye juu.
Psaumes 5.11 Psaumes 83.18 Psaumes 92.1 Psaumes 7.17 Psaumes 97.9
3 Kwa sababu adui zangu hurudi nyuma; Hujikwaa na kuangamia mbele zako.
Apocalypse 6.12-6.17 Apocalypse 20.11 Psaumes 68.1-68.2 2 Thessaloniciens 1.9 Psaumes 76.7
4 Kwa maana umenifanyia hukumu na haki Umeketi kitini pa enzi ukihukumu kwa haki.
Psaumes 140.12 1 Pierre 2.23 Psaumes 89.14 Psaumes 16.5 Esaïe 11.4
5 Umewakemea mataifa; Na kumwangamiza mdhalimu; Umelifuta jina lao milele na milele;
Proverbes 10.7 Deutéronome 9.14 Psaumes 79.10 Proverbes 13.9 2 Samuel 17.23
6 Adui wamekoma na kuachwa ukiwa milele. Nayo miji yao uliing’oa; Hata kumbukumbu lao limepotea.
Michée 7.8 Psaumes 34.16 Esaïe 14.22-14.23 2 Rois 19.25 Esaïe 14.6-14.8
7 Bali Bwana atakaa milele, Ameweka kiti chake tayari kwa hukumu.
Psaumes 102.24-102.27 Psaumes 50.3-50.5 Apocalypse 20.11 Hébreux 13.8 2 Pierre 3.8
8 Naye atauhukumu ulimwengu kwa haki; Atawaamua watu kwa adili.
Psaumes 96.13 Psaumes 98.9 Psaumes 94.15 Genèse 18.25 Psaumes 99.4
9 Bwana atakuwa ngome kwake aliyeonewa, Naam, ngome kwa nyakati za shida.
Psaumes 32.7 Proverbes 18.10 Psaumes 91.1-91.2 Hébreux 6.18 Psaumes 48.3
10 Nao wakujuao jina lako wakutumaini Wewe, Maana Wewe, Bwana hukuwaacha wakutafutao.
Psaumes 91.14 2 Timothée 1.12 2 Corinthiens 1.9-1.10 Proverbes 18.10 Esaïe 26.3-26.4
11 Mwimbieni Bwana akaaye Sayuni, Yatangazeni kati ya watu matendo yake.
Psaumes 107.22 Psaumes 76.2 Psaumes 47.6-47.7 Psaumes 148.13-148.14 Psaumes 33.1-33.3
12 Maana mlipiza kisasi cha damu awakumbuka, Hakukisahau kilio cha wanyonge.
Genèse 9.5 Psaumes 34.6 Exode 3.7 Juges 10.16 Esaïe 26.21
13 Wewe, Bwana, unifadhili, Tazama mateso niteswayo na wanaonichukia; Wewe uniinuaye katika malango ya mauti,
Psaumes 86.13 Psaumes 30.3 Psaumes 13.3 Psaumes 119.153 Lamentations 1.11
14 Ili nizisimulie sifa zako zote; Katika malango ya binti Sayuni Nitaufurahia wokovu wako.
Psaumes 13.5 Psaumes 106.2 Psaumes 51.12 Psaumes 20.5 Psaumes 35.9
15 Mataifa wamezama katika shimo walilolifanya; Kwa wavu waliouficha imenaswa miguu yao.
Psaumes 57.6 Psaumes 7.15-7.16 Psaumes 35.8 Psaumes 94.23 Proverbes 22.8
16 Bwana amejidhihirisha na kutekeleza hukumu; Amemnasa mdhalimu kwa kazi ya mikono yake.
Exode 7.5 Proverbes 12.13 Exode 14.4 Psaumes 58.10-58.11 Psaumes 83.17-83.18
17 Wadhalimu watarejea kuzimu, Naam, mataifa yote wanaomsahau Mungu.
Psaumes 50.22 Job 8.13 2 Thessaloniciens 1.7-1.9 Romains 2.8-2.9 Esaïe 5.14
18 Kwa maana mhitaji hatasahauliwa daima; Matumaini ya wanyonge hayatapotea milele.
Proverbes 23.18 Psaumes 12.5 Proverbes 24.14 Psaumes 9.12 Luc 1.53
19 Bwana, usimame, mwanadamu asipate nguvu, Mataifa wahukumiwe mbele zako.
Psaumes 3.7 Psaumes 80.2 1 Samuel 2.9 Esaïe 42.13-42.14 Psaumes 74.22-74.23
20 Bwana, uwawekee kitisho, Mataifa na wajijue kuwa ni binadamu.
Esaïe 31.3 Ezéchiel 28.9 Jérémie 32.40 Psaumes 62.9 Psaumes 82.6-82.7

Cette Bible est dans le domaine public.