Les noces du roi
 1 Moyo wangu umefurika kwa neno jema, Mimi nasema niliyomfanyizia mfalme; Ulimi wangu ni kalamu ya mwandishi mstadi.
2 Samuel 23.2  Esdras 7.6  Psaumes 49.3  Job 33.3  Cantique 1.12  
 2 Wewe u mzuri sana kuliko wanadamu; Neema imemiminiwa midomoni mwako, Kwa hiyo Mungu amekubariki hata milele.
Luc 4.22  Psaumes 21.6  Jean 1.14  Apocalypse 1.13-1.18  Esaïe 50.4  
 3 Jifungie upanga wako pajani, wewe uliye hodari, Utukufu ni wako na fahari ni yako.
Hébreux 4.12  Apocalypse 1.16  Apocalypse 19.15  Esaïe 49.2  Psaumes 21.5  
 4 Katika fahari yako usitawi uendelee Kwa ajili ya kweli na upole na haki Na mkono wako wa kuume Utakufundisha mambo ya kutisha.
Psaumes 65.5  Apocalypse 6.2  Psaumes 110.2-110.3  Apocalypse 6.16-6.17  Zacharie 9.9  
 5 Mishale yako ni mikali, watu huanguka chini yako; Imo mioyoni mwa adui za mfalme.
Psaumes 21.12  Psaumes 38.2  Nombres 24.8  Psaumes 22.27  Actes 5.14  
 6 Kiti chako cha enzi, Mungu, ni cha milele na milele, Fimbo ya ufalme wako ni fimbo ya adili.
Psaumes 93.2  Hébreux 1.8-1.9  Daniel 2.44  Jérémie 23.5-23.6  Luc 1.32-1.33  
 7 Umeipenda haki; Umeichukia dhuluma. Kwa hiyo MUNGU, Mungu wako, amekupaka mafuta, Mafuta ya furaha kuliko wenzako.
Psaumes 33.5  Hébreux 1.9  Psaumes 21.6  Colossiens 1.18-1.19  Esaïe 61.1-61.3  
 8 Mavazi yako yote hunukia manemane Na udi na mdalasini. Katika majumba ya pembe Vinubi vimekufurahisha.
Cantique 1.3  Jean 19.39  Cantique 4.6  2 Corinthiens 2.14-2.16  Matthieu 2.11  
 9 Binti za wafalme wamo Miongoni mwa akina bibi wako wastahiki. Mkono wako wa kuume amesimama malkia Amevaa dhahabu ya Ofiri.
1 Rois 2.19  Esaïe 49.23  Jean 3.29  1 Rois 2.9  Psaumes 72.10  
 10 Sikia, binti, utazame, utege sikio lako, Uwasahau watu wako na nyumba ya baba yako.
Cantique 2.10-2.13  Genèse 12.1  Esaïe 55.1-55.3  2 Corinthiens 6.17-7.1  2 Corinthiens 5.16  
 11 Naye mfalme atautamani uzuri wako, Maana ndiye bwana wako, nawe umsujudie.
Esaïe 54.5  Psaumes 95.6  Jérémie 23.5-23.6  Cantique 7.1-7.10  Psaumes 45.6  
 12 Na binti Tiro analeta kipawa chake, Nao matajiri wa watu watajipendekeza kwako.
Psaumes 22.29  Esaïe 49.23  Psaumes 72.10  Psaumes 68.29  Esaïe 60.6-60.7  
 13 Binti mfalme yumo ndani ana fahari tupu, Mavazi yake ni ya nyuzi za dhahabu.
Esaïe 61.10  Apocalypse 19.7-19.8  1 Pierre 2.9  Romains 2.29  Matthieu 5.16  
 14 Atapelekwa kwa mfalme Na mavazi yaliyofumwa kwa uzuri. Wanawali wenzake wanaomfuata, Watapelekwa kwako.
Juges 5.30  Cantique 1.3-1.5  Cantique 8.13  Exode 28.39  Cantique 6.13  
 15 Watapelekwa kwa furaha na shangwe, Na kuingia katika nyumba ya mfalme.Esaïe 61.10  Esaïe 56.5  Apocalypse 7.15-7.17  Esaïe 60.19-60.20  Jude 1.24  
 16 Badala ya baba zako watakuwapo watoto wako, Utawafanya kuwa wakuu katika nchi zote.
Apocalypse 5.10  1 Pierre 2.9  Apocalypse 1.6  Apocalypse 20.6  Philippiens 3.7-3.8  
 17 Jina lako nitalifanya kuwa kumbukumbu Katika vizazi vyote. Kwa hiyo mataifa watakushukuru Milele na milele.
Malachie 1.11  Esaïe 62.3  Psaumes 72.17-72.19  Esaïe 61.9  1 Corinthiens 11.26