Fermer le panneau de recherche

Appuyez sur Entrée pour rechercher ou ESC pour annuler.

Psaumes 109.15
Bible en Swahili de l’est


Imprécation contre le méchant

1 Ee Mungu wa sifa zangu, usinyamaze,
Psaumes 83.1 Deutéronome 10.21 Psaumes 28.1 Jérémie 17.14 Psaumes 118.28
2 Kwa maana wamenifumbulia kinywa; Kinywa cha mtu asiye haki, cha hila, Wamesema nami kwa ulimi wa uongo.
Psaumes 52.4 Proverbes 12.19 Psaumes 31.18 Psaumes 31.13 Jérémie 9.3
3 Naam, kwa maneno ya chuki wamenizunguka, Wamepigana nami bure.
Psaumes 69.4 Psaumes 35.7 Psaumes 22.12 Jean 15.24-15.25 1 Samuel 26.18
4 Badala ya upendo wangu wao hunishitaki, Ijapokuwa naliwaombea.
Psaumes 38.20 Luc 23.34 2 Samuel 13.39 Psaumes 35.12 Psaumes 69.12-69.13
5 Wamenichukuza mabaya badala ya mema, Na chuki badala ya upendo wangu.
Psaumes 38.20 Proverbes 17.13 2 Samuel 15.31 Marc 14.44-14.45 2 Samuel 15.12
6 Uweke mtu mkorofi juu yake, Mshitaki asimame mkono wake wa kuume.
Zacharie 3.1 Matthieu 5.25 Jean 13.2 Matthieu 27.4 Jean 13.27
7 Katika kuhukumiwa ataonekana hana haki, Na sala yake itadhaniwa kuwa ni dhambi.
Proverbes 28.9 Proverbes 21.27 Proverbes 15.8 Galates 3.10 Romains 3.19
8 Siku zake na ziwe chache, Usimamizi wake na atwae mtu mwingine.
Psaumes 55.23 Actes 1.16-1.26 Matthieu 27.5
9 Wanawe na wawe yatima, Na mkewe na awe mjane.
Exode 22.24 Jérémie 18.21 Lamentations 5.3
10 Kutanga na watange wanawe na kuomba, Watafute chakula mbali na mahame yao.
Psaumes 37.25 2 Rois 5.27 2 Samuel 3.29 Job 30.3-30.9 Job 24.8-24.12
11 Mdai na anase vitu vyote alivyo navyo, Wageni na wateke mapato ya kazi yake.
Job 5.5 Job 18.9-18.19 Juges 6.3-6.6 Job 20.18 Deutéronome 28.33-28.34
12 Asiwe na mtu wa kumfanyia fadhili, Wala mtu wa kuwahurumia yatima wake.
Matthieu 27.25 Jacques 2.13 Esaïe 13.18 Luc 6.38 Esaïe 9.17
13 Wazao wake waangamizwe, Jina lao likafutwe katika kizazi cha pili.
Proverbes 10.7 Psaumes 37.28 Job 18.19 1 Samuel 3.13 Deutéronome 25.19
14 Uovu wa baba zake ukumbukwe mbele za Bwana, Na dhambi ya mamaye isifutwe.
Jérémie 18.23 Exode 20.5 Néhémie 4.5 2 Samuel 21.8-21.9 Matthieu 23.31-23.36
15 Ziwe mbele za Bwana daima, Aliondoe kumbukumbu lao duniani.
Psaumes 34.16 Job 18.17 Psaumes 90.8 Psaumes 51.9 Esaïe 65.15
16 Kwa kuwa hakukumbuka kutenda fadhili, Bali alimfukuza mnyonge na mhitaji, Hata akamfisha mtu aliyevunjika moyo,
Psaumes 34.18 2 Samuel 16.11-16.12 Marc 14.34-14.36 Psaumes 37.32 Job 19.2-19.3
17 Naye alipenda kulaani, nako kukampata. Hakupendezwa na kubariki, kukawa mbali naye,
Proverbes 14.14 Ezéchiel 35.6 Matthieu 7.2 Psaumes 52.4-52.5 Apocalypse 16.6
18 Alijivika laana kana kwamba ni vazi lake. Ikamwingilia moyoni kama maji, Na kama mafuta mifupani mwake.
Psaumes 73.6 Nombres 5.22 Job 20.20-20.23 1 Pierre 5.5 Actes 1.18
19 Na iwe kwake kama vazi ajivikalo, Na kama mshipi ajifungao daima.
Psaumes 109.29 Psaumes 35.26 Psaumes 132.18 Psaumes 109.18
20 Ndiyo malipo ya washitaki wangu toka kwa Bwana, Na ya hao wanaoisingizia nafsi yangu mabaya.
Psaumes 71.10 Matthieu 11.19 Matthieu 12.24 Psaumes 40.14-40.15 1 Rois 2.44
21 Na Wewe, MUNGU, Bwana, unitendee kwa ajili ya jina lako, Kwa kuwa fadhili zako ni njema uniokoe.
Psaumes 31.3 Psaumes 69.16 Psaumes 25.11 Psaumes 63.3 Psaumes 79.9-79.10
22 Kwa maana mimi ni mnyonge na mhitaji, Na moyo wangu umejeruhi ndani yangu.
Psaumes 86.1 Psaumes 40.17 Jean 12.27 Job 6.4 2 Corinthiens 8.9
23 Ninapita kama kivuli kianzacho kutoweka, Ninapeperushwa kama nzige.
Exode 10.19 Job 14.2 Exode 10.13 Ecclésiaste 8.13 Ecclésiaste 6.12
24 Magoti yangu yamedhoofu kwa kufunga, Na mwili wangu umekonda kwa kukosa mafuta.
Hébreux 12.12 Psaumes 22.14 2 Corinthiens 11.27 Psaumes 32.3-32.4 Psaumes 69.10
25 Nami nalikuwa laumu kwao, Wanionapo hutikisa vichwa vyao.
Psaumes 22.6-22.7 Psaumes 69.19-69.20 Romains 15.3 Psaumes 69.9-69.12 Psaumes 31.11-31.13
26 Ee Bwana, Mungu wangu, unisaidie, Uniokoe sawasawa na fadhili zako.
Psaumes 119.86 Psaumes 40.12 Psaumes 69.16 Psaumes 57.1 Psaumes 69.13
27 Nao wakajue ya kuwa ndio mkono wako; Wewe, Bwana, umeyafanya hayo.
Job 37.7 Actes 2.32-2.36 Actes 4.16 1 Samuel 17.46-17.47 Nombres 16.28-16.30
28 Wao walaani, bali Wewe utabariki, Wameondoka wao wakaaibishwa, Bali mtumishi wako atafurahi.
Jean 16.22 Psaumes 109.17 Hébreux 12.2 Nombres 23.23 2 Samuel 16.10-16.13
29 Washitaki wangu watavikwa fedheha, Watajivika aibu yao kama joho.
Psaumes 35.26 Psaumes 132.18 Job 8.22 Psaumes 6.10 Michée 7.10
30 Nitamshukuru Bwana kwa kinywa changu, Naam, nitamsifu katikati ya mkutano.
Psaumes 35.18 Psaumes 111.1 Psaumes 22.22-22.25 Psaumes 138.4 Psaumes 71.22-71.23
31 Maana atasimama mkono wa kuume wa mhitaji Amwokoe na wanaoihukumu nafsi yake.
Psaumes 16.8 Psaumes 121.5 Psaumes 73.23 Psaumes 110.5 Actes 4.10-4.12

Cette Bible est dans le domaine public.