Bénédictions après l’épreuve
 1 Mpigie Mungu kelele za shangwe, nchi yote,
Psaumes 100.1  Psaumes 81.1  Psaumes 98.4  Esaïe 24.16  Psaumes 117.1-117.2  
 2 Imbeni utukufu wa jina lake, Tukuzeni sifa zake.
Psaumes 79.9  Apocalypse 5.13  1 Chroniques 29.10-29.13  Esaïe 6.3  Psaumes 107.15  
 3 Mwambieni Mungu, Matendo yako yatisha kama nini! Kwa ajili ya wingi wa nguvu zako, Adui zako watakuja kunyenyekea mbele zako.
Psaumes 65.5  Psaumes 18.44  Psaumes 81.15  Psaumes 47.2  Juges 5.2-5.4  
 4 Nchi yote itakusujudia na kukuimbia, Naam, italiimbia jina lako.
Psaumes 22.27  Psaumes 117.1  Esaïe 49.22-49.23  Psaumes 67.2-67.3  Psaumes 65.5  
 5 Njoni yatazameni matendo ya Mungu; Hutisha kwa mambo awatendayo wanadamu;
Psaumes 46.8  Psaumes 99.3  Ezéchiel 1.18  Psaumes 111.2  Psaumes 66.3  
 6 Aligeuza bahari ikawa nchi kavu; Katika mto walivuka kwa miguu; Huko ndiko mlikomfurahia.
Josué 3.16  Exode 14.21-14.22  Josué 3.14  Psaumes 106.8-106.12  Psaumes 78.13  
 7 Atawala kwa uweza wake milele; Macho yake yanaangalia mataifa; Waasio wasijitukuze nafsi zao.
Psaumes 11.4  Exode 18.11  Psaumes 33.13  Matthieu 6.13  Psaumes 52.1-52.5  
 8 Enyi mataifa, mtukuzeni Mungu wetu, Itangazeni sauti ya sifa zake;
Apocalypse 19.1  Psaumes 98.4  Psaumes 66.2  Psaumes 47.1  Apocalypse 5.11-5.14  
 9 Aliyeiweka nafsi yetu katika uhai, Wala hakuuacha mguu wetu usogezwe.
Psaumes 121.3  Colossiens 3.3-3.4  1 Samuel 2.9  Psaumes 125.3  Psaumes 62.6  
 10 Kwa maana umetupima, Ee Mungu, Umetujaribu inavyojaribiwa fedha.
Psaumes 17.3  Esaïe 48.10  Zacharie 13.9  1 Pierre 1.6-1.7  Proverbes 17.3  
 11 Ulituingiza ndani ya wavu, Na kuweka viunoni mwetu mzigo uliotulemea.
Lamentations 1.13  Matthieu 6.13  Osée 7.12  Deutéronome 33.11  Lamentations 3.2-3.66  
 12 Uliwapandisha watu Juu ya vichwa vyetu. Tulipita motoni na majini; Ukatutoa na kutuleta kunako wingi.
Esaïe 51.23  1 Thessaloniciens 3.3-3.4  Apocalypse 7.14-7.17  Esaïe 43.1-43.2  Job 36.16  
 13 Nitaingia nyumbani mwako na kafara; Nitaondoa kwako nadhiri zangu;Ecclésiaste 5.4  Psaumes 118.19  Nahum 1.15  Psaumes 118.27  Psaumes 51.18-51.19  
 14 Ambazo midomo yangu ilizinena; Kinywa changu kikazisema nilipokuwa taabuni.
Psaumes 18.6  Nombres 30.12  Nombres 30.2  2 Samuel 22.7  1 Samuel 1.11  
 15 Kafara za vinono nitakutolea, Pamoja na fukizo la kondoo waume, Nitatoa ng’ombe pamoja na mbuzi.
2 Samuel 6.13  2 Samuel 6.17-6.19  Nombres 6.14  Jérémie 41.5  1 Chroniques 16.1-16.3  
 16 Njoni, sikieni, ninyi nyote mnaomcha Mungu, Nami nitayatangaza aliyonitendea roho yangu.
Psaumes 34.11  Psaumes 66.5  1 Timothée 1.15-1.16  Psaumes 71.18  Psaumes 71.24  
 17 Nalimwita kwa kinywa changu, Na sifa kuu zilikuwa chini ya ulimi wangu.
Psaumes 30.1  Psaumes 34.3-34.4  Psaumes 34.6  Psaumes 116.12  Psaumes 145.1  
 18 Kama ningaliwaza maovu moyoni mwangu, Bwana asingesikia.
Jean 9.31  Proverbes 28.9  Esaïe 1.15  Jacques 4.3  Job 27.8-27.9  
 19 Hakika Mungu amesikia; Ameisikiliza sauti ya maombi yangu.
Psaumes 116.1-116.2  Lamentations 3.55-3.56  Psaumes 6.9  Hébreux 5.7  Psaumes 34.6  
 20 Na ahimidiwe Mungu asiyeyakataa maombi yangu, Wala kuniondolea fadhili zake.
2 Samuel 7.14-7.15  Psaumes 22.24  Psaumes 86.12-86.13  Psaumes 51.11  Psaumes 68.35