Fermer le panneau de recherche

Appuyez sur Entrée pour rechercher ou ESC pour annuler.

Psaumes 56.14
Bible en Swahili de l’est


Confiance dans la détresse

1 Mungu, unirehemu, maana yuko atakaye kunimeza, Mchana kutwa ananionea akileta vita.
Psaumes 27.2 Psaumes 69.13-69.16 Psaumes 57.1-57.3 Psaumes 16.1 1 Corinthiens 15.54
2 Adui zangu wanataka kunimeza mchana kutwa, Maana waletao vita juu yangu kwa kiburi ni wengi.
Michée 6.6 Psaumes 92.8 Apocalypse 16.14 Psaumes 91.1 Psaumes 35.1
3 Siku ya hofu yangu nitakutumaini Wewe;
Psaumes 55.4-55.5 Psaumes 34.4 1 Samuel 30.6 1 Samuel 21.12 2 Corinthiens 7.5-7.6
4 Kwa msaada wa MUNGU nitalisifu neno lake. Nimemtumaini Mungu, sitaogopa; Mwenye mwili atanitenda nini?
Psaumes 118.6 Hébreux 13.6 Psaumes 119.160 Psaumes 27.1 Psaumes 56.10-56.11
5 Mchana kutwa wanapotosha maneno yangu, Mawazo yao yote ni juu yangu kunitakia mabaya.
2 Pierre 3.16 Jean 2.19 1 Samuel 18.21 Jérémie 18.18 Psaumes 41.7
6 Hukutanika, hujificha, huziangalia nyayo zangu, Kwa kuwa wameniotea nafsi yangu.
Psaumes 71.10 Psaumes 59.3 Psaumes 140.2 Psaumes 57.6 Psaumes 89.51
7 Je! Wataokoka kwa uovu wao? Ee Mungu, uwaangamize kwa hasira yako.
Psaumes 55.23 Psaumes 36.12 Ecclésiaste 8.8 Jérémie 10.25 Esaïe 28.15
8 Umehesabu kutanga-tanga kwangu; Uyatie machozi yangu katika chupa yako; (Je! Hayamo katika kitabu chako?)
Psaumes 39.12 2 Rois 20.5 Malachie 3.16 Psaumes 139.16 Apocalypse 7.17
9 Ndipo adui zangu watarudi nyuma siku ile niitapo. Neno hili najua kuwa MUNGU yu upande wangu;
Romains 8.31 Psaumes 118.6 Psaumes 102.2 Psaumes 46.11 Jérémie 33.3
10 Kwa msaada wa MUNGU nitalisifu neno lake. Kwa msaada wa Bwana nitalisifu neno lake.
Psaumes 56.4 Genèse 32.11 Hébreux 6.18 2 Pierre 1.4 Matthieu 24.35
11 Nimemtumaini Mungu, sitaogopa; Mwanadamu atanitenda nini?
Esaïe 51.12-51.13 Psaumes 112.7-112.8 Esaïe 51.7-51.8 Psaumes 27.1
12 Ee Mungu, nadhiri zako zi juu yangu; Nitakutolea dhabihu za kushukuru.
Psaumes 50.14 Psaumes 9.1-9.3 Psaumes 21.13 Psaumes 76.11 Psaumes 66.13-66.14
13 Maana umeniponya nafsi yangu na mauti; Je! Hukuizuia miguu yangu isianguke? Ili nienende mbele za Mungu Katika nuru ya walio hai.
Psaumes 116.8-116.9 Job 33.30 Genèse 17.1 1 Thessaloniciens 1.10 Psaumes 94.18

Cette Bible est dans le domaine public.