Fermer le panneau de recherche

Appuyez sur Entrée pour rechercher ou ESC pour annuler.

Psaumes 26.8
Bible en Swahili de l’est


Prière de l’homme intègre

1 Ee Bwana, unihukumu mimi, Maana nimekwenda kwa ukamilifu wangu, Nami nimemtumaini Bwana bila wasiwasi.
Psaumes 7.8 2 Rois 20.3 Psaumes 28.7 Proverbes 20.7 1 Samuel 24.15
2 Ee Bwana, unijaribu na kunipima; Unisafishe mtima wangu na moyo wangu.
Psaumes 7.9 Psaumes 17.3 Job 31.4-31.6 Jérémie 20.12 Psaumes 139.23-139.24
3 Maana fadhili zako zi mbele ya macho yangu, Nami nimekwenda katika kweli yako.
2 Rois 20.3 Psaumes 119.142 Colossiens 3.12-3.13 2 Corinthiens 3.18 Esaïe 2.5
4 Sikuketi pamoja na watu wa ubatili, Wala sitaingia mnamo wanafiki.
Psaumes 1.1 Psaumes 119.115 Jérémie 15.17 Proverbes 13.20 Proverbes 9.6
5 Nimelichukia kusanyiko la watenda mabaya, Wala sitaketi pamoja na watu waovu.
Psaumes 31.6 Psaumes 139.21-139.22 Psaumes 101.3-101.8 1 Corinthiens 5.9-5.11 Psaumes 1.1
6 Nitanawa mikono yangu kwa kutokuwa na hatia, Na kuizunguka madhabahu yako, Ee Bwana
Psaumes 73.13 Psaumes 43.4 Exode 30.19-30.20 Esaïe 1.16-1.18 Matthieu 5.23-5.24
7 Ili niitangaze sauti ya kushukuru, Na kuzisimulia kazi zako za ajabu.
Psaumes 9.1 Psaumes 66.13-66.15 Psaumes 134.2 Deutéronome 26.2-26.10 Psaumes 72.18
8 Bwana, nimependa makao ya nyumba yako, Na mahali pa maskani ya utukufu wako.
Luc 2.49 Jean 2.14-2.17 Psaumes 84.1-84.2 Psaumes 122.9 Esaïe 38.20
9 Usiiondoe nafsi yangu pamoja na wakosaji, Wala uhai wangu pamoja na watu wa damu.
Psaumes 139.19 2 Samuel 16.7 Matthieu 25.44 Apocalypse 22.14-22.15 1 Samuel 22.18-22.19
10 Mikononi mwao mna madhara, Na mkono wao wa kuume umejaa rushwa.
1 Samuel 8.3 Exode 23.8 Deutéronome 16.19 Matthieu 26.3-26.4 Psaumes 55.9-55.11
11 Ila mimi nitakwenda kwa ukamilifu wangu; Unikomboe, unifanyie fadhili.
Psaumes 69.18 Psaumes 26.1 Néhémie 13.31 Néhémie 13.14 Luc 1.6
12 Mguu wangu umesimama palipo sawa; Katika makusanyiko nitamhimidi Bwana.
Psaumes 27.11 Psaumes 40.2 Psaumes 111.1 Proverbes 10.9 1 Samuel 2.9

Cette Bible est dans le domaine public.