Fermer le panneau de recherche

Appuyez sur Entrée pour rechercher ou ESC pour annuler.

Psaumes 94
Bible en Swahili de l’est


Jugement des méchants

1 Ee Bwana, Mungu wa kisasi, Mungu wa kisasi, uangaze,
Nahum 1.2 Deutéronome 32.35 Esaïe 35.4 Romains 12.19 Psaumes 80.1
2 Mwenye kuihukumu nchi, ujitukuze, Uwape wenye kiburi stahili zao.
Psaumes 7.6 Psaumes 31.23 Genèse 18.25 Esaïe 37.29 1 Pierre 5.5
3 Bwana, hata lini wasio haki, Hata lini wasio haki watashangilia?
Job 20.5 Apocalypse 6.10 Esther 6.6-6.10 Psaumes 89.46 Psaumes 80.4
4 Je! Wote watendao uovu watatoa maneno, Na kusema majivuno, na kufanya kiburi?
Psaumes 31.18 Psaumes 52.1 Jude 1.14-1.15 Psaumes 64.3-64.4 Daniel 8.11
5 Ee Bwana, wanawaseta watu wako; Wanautesa urithi wako;
Esaïe 3.15 Apocalypse 11.3 Psaumes 14.4 Psaumes 79.7 Psaumes 74.8
6 Wanamwua mjane na mgeni; Wanawafisha yatima.
Esaïe 10.2 Jérémie 7.6 Ezéchiel 22.7 Jérémie 22.3 Malachie 3.5
7 Nao husema, Bwana haoni; Mungu wa Yakobo hafikiri.
Ezéchiel 9.9 Luc 18.3-18.4 Ezéchiel 8.12 Esaïe 29.15 Sophonie 1.12
8 Enyi wajinga miongoni mwa watu, fikirini; Enyi wapumbavu, lini mtakapopata akili?
Psaumes 92.6 Psaumes 49.10 Jérémie 10.8 Psaumes 73.22 Deutéronome 32.29
9 Aliyelitia sikio mahali pake asisikie? Aliyelifanya jicho asione?
Exode 4.11 Proverbes 20.12 Jérémie 23.23-23.24 Psaumes 139.1-139.12 Proverbes 20.1
10 Awaadibuye mataifa asikemee? Amfundishaye mwanadamu asijue?
Job 35.11 Esaïe 28.26 Psaumes 44.2 Psaumes 119.66 Psaumes 9.5
11 Bwana anajua mawazo ya mwanadamu, Ya kuwa ni ubatili.
1 Corinthiens 3.20 Psaumes 49.10-49.13 Job 11.11-11.12 1 Corinthiens 1.25 1 Corinthiens 1.19
12 Ee Bwana, heri mtu yule umwadibuye, Na kumfundisha kwa sheria yako;
Proverbes 3.11-3.12 Job 5.17 Psaumes 119.71 1 Corinthiens 11.32 Hébreux 12.5-12.11
13 Upate kumstarehesha siku za mabaya, Hata asiye haki atakapochimbiwa shimo.
Psaumes 55.23 Psaumes 9.15 Habakuk 3.16 Apocalypse 14.13 2 Pierre 2.9
14 Kwa kuwa Bwana hatawatupa watu wake, Wala hutauacha urithi wake,
1 Samuel 12.22 Romains 11.1-11.2 Psaumes 37.28 Deutéronome 32.9 Ephésiens 1.18
15 Maana hukumu itairejea haki, Na wote walio wanyofu wa moyo wataifuata.
Michée 7.9 Psaumes 94.2-94.3 Deutéronome 32.35-32.36 Apocalypse 15.3-15.4 1 Jean 2.19
16 Ni nani atakayesimama Kwa ajili yangu juu ya wabaya? Ni nani atakayenisaidia Juu yao wafanyao maovu?
Psaumes 59.2 Exode 32.26-32.29 Jérémie 26.16-26.19 Ezéchiel 22.30 Esaïe 59.16
17 Kama Bwana asingalikuwa msaada wangu, Nafsi yangu kwa upesi ingalikaa penye kimya.
Psaumes 124.1-124.2 Psaumes 31.17 Psaumes 13.3 Psaumes 118.13 Psaumes 142.4-142.5
18 Niliposema, Mguu wangu unateleza; Ee Bwana, fadhili zako zilinitegemeza.
Psaumes 38.16 Psaumes 121.3 Psaumes 37.23-37.24 Psaumes 119.116-119.117 Esaïe 41.10
19 Katika wingi wa mawazo ya moyoni mwangu, Faraja zako zaifurahisha roho yangu.
Habakuk 3.16-3.18 Psaumes 77.2-77.10 Psaumes 61.2 Psaumes 43.2-43.5 2 Corinthiens 1.4-1.5
20 Je! Kiti cha udhalimu kishirikiane nawe, Kitungacho madhara kwa njia ya sheria?
Psaumes 58.2 Amos 6.3 Esaïe 10.1 Esther 3.6-3.12 Michée 6.16
21 Huishambulia nafsi yake mwenye haki, Na kuihukumu damu isiyo na hatia.
Proverbes 17.15 Matthieu 27.1 Exode 23.7 Psaumes 59.3 Actes 4.5-4.7
22 Lakini Bwana amekuwa ngome kwangu, Na Mungu wangu mwamba wangu wa kukimbilia.
Psaumes 18.2 Psaumes 59.9 Psaumes 62.2 Esaïe 33.16 Psaumes 27.1-27.3
23 Naye atawarudishia uovu wao, Atawaangamiza katika ubaya wao, Naam, Bwana, Mungu wetu, atawaangamiza.
Psaumes 7.16 Proverbes 2.22 Psaumes 55.23 Psaumes 12.3 Psaumes 64.8

Cette Bible est dans le domaine public.