Fermer le panneau de recherche

Appuyez sur Entrée pour rechercher ou ESC pour annuler.

Psaumes 42.2
Bible en Swahili de l’est


Deuxième livre

L’espérance en Dieu

1 Kama ayala aioneavyo shauku mito ya maji. Vivyo hivyo nafsi yangu inakuonea shauku, Ee Mungu.
Psaumes 119.131 Psaumes 143.6-143.7 Psaumes 84.1-84.2 Psaumes 63.1-63.2 Psaumes 48.1
2 Nafsi yangu inamwonea kiu MUNGU, Mungu aliye hai, Lini nitakapokuja nionekane mbele za Mungu?
Psaumes 63.1 Psaumes 84.2 Apocalypse 22.1 Jean 7.37 Psaumes 36.8-36.9
3 Machozi yangu yamekuwa chakula changu mchana na usiku, Pindi wanaponiambia mchana kutwa, Yuko wapi Mungu wako.
Psaumes 80.5 Psaumes 79.10 Psaumes 102.9 Psaumes 115.2 Psaumes 42.10
4 Nayakumbuka hayo nikiweka wazi nafsi yangu ndani yangu, Jinsi nilivyokuwa nikienda na mkutano, Na kuwaongoza nyumbani kwa Mungu, Kwa sauti ya furaha na kusifu, mkutano wa sikukuu.
Esaïe 30.29 Psaumes 62.8 Psaumes 122.1 Psaumes 81.1-81.3 1 Chroniques 15.15-15.28
5 Nafsi yangu, kwa nini kuinama, Na kufadhaika ndani yangu? Umtumaini Mungu; Kwa maana nitakuja kumsifu, Aliye afya ya uso wangu, Na Mungu wangu.
Psaumes 71.14 Psaumes 44.3 Psaumes 43.5 Psaumes 42.11 Lamentations 3.24-3.26
6 Nafsi yangu imeinama ndani yangu, kwa hiyo nitakukumbuka, Toka nchi ya Yordani, na Mahermoni, na toka kilima cha Mizari.
Psaumes 61.2 Jonas 2.7 2 Samuel 17.22 Deutéronome 3.8-3.9 Psaumes 43.4
7 Kilindi chapigia kelele kilindi kwa sauti ya maboromoko ya maji yako, Gharika zako zote na mawimbi yako yote yamepita juu yangu.
Jonas 2.3 Psaumes 88.7 Psaumes 69.14-69.15 Jérémie 4.20 Ezéchiel 7.26
8 Mchana Bwana ataagiza fadhili zake, na usiku wimbo wake utakuwa nami, Naam, maombi kwa Mungu aliye uhai wangu.
Psaumes 63.6 Psaumes 149.5 Job 35.10 Psaumes 44.4 Psaumes 133.3
9 Nitamwambia Mungu, mwamba wangu, Kwa nini umenisahau? Kwa nini ninakwenda nikihuzunika, adui wakinionea?
Psaumes 38.6 Psaumes 18.2 Psaumes 43.2 Psaumes 55.3 Lamentations 5.1-5.16
10 Watesi wangu hunitukana mithili ya kuniponda mifupa yangu, Pindi wanaponiambia mchana kutwa, Yuko wapi Mungu wako?
Psaumes 42.3 Joël 2.17 Luc 2.35 Proverbes 12.18 Michée 7.10
11 Nafsi yangu, kwa nini kuinama, Na kufadhaika ndani yangu? Umtumaini Mungu; Kwa maana nitakuja kumsifu, Aliye afya ya uso wangu, Na Mungu wangu.
Psaumes 42.5 Psaumes 43.5 Matthieu 9.12 Jérémie 30.17 Jérémie 33.6

Cette Bible est dans le domaine public.