Fermer le panneau de recherche

Appuyez sur Entrée pour rechercher ou ESC pour annuler.

Psaumes 29.10
Bible en Swahili de l’est


La toute-puissance de Dieu

1 Mpeni Bwana, enyi wana wa Mungu, Mpeni Bwana utukufu na nguvu;
Psaumes 96.7-96.9 Psaumes 68.31-68.34 1 Chroniques 16.28-16.29 Psaumes 2.10-2.12 Jérémie 13.16-13.18
2 Mpeni Bwana utukufu wa jina lake; Mwabuduni Bwana kwa uzuri wa utakatifu.
2 Chroniques 20.21 Psaumes 110.3 Psaumes 96.8-96.9 Psaumes 90.17 Psaumes 27.4
3 Sauti ya Bwana i juu ya maji; Mungu wa utukufu alipiga radi; Bwana yu juu ya maji mengi.
Psaumes 18.13-18.15 Psaumes 93.3-93.4 Psaumes 24.7-24.10 Apocalypse 16.18 Apocalypse 17.14-17.15
4 Sauti ya Bwana ina nguvu; Sauti ya Bwana ina adhama;
Psaumes 68.33 Psaumes 33.9 Job 26.11-26.14 Luc 8.25 Job 40.9-40.12
5 Sauti ya Bwana yaivunja mierezi; Naam, Bwana aivunja-vunja mierezi ya Lebanoni;
Juges 9.15 Esaïe 2.13 Psaumes 104.16
6 Airusha-rusha kama ndama wa ng’ombe; Lebanoni na Sirioni kama mwana-nyati.
Deutéronome 3.9 Nombres 23.22 Jérémie 4.23-4.25 Psaumes 92.10 Habakuk 3.6-3.11
7 Sauti ya Bwana yaipasua miali ya moto;
Psaumes 77.18 Exode 9.23 Job 38.35 Nombres 16.35 Lévitique 10.2
8 Sauti ya Bwana yalitetemesha jangwa; Bwana alitetemesha jangwa la Kadeshi.
Nombres 13.26 Hébreux 12.26 Joël 3.16 Job 9.6 Aggée 2.6
9 Sauti ya Bwana yawazalisha ayala, Na kuifichua misitu; Na ndani ya hekalu lake Wanasema wote, Utukufu.
Job 39.1-39.3 Esaïe 10.18-10.19 Ezéchiel 20.46-20.48 Psaumes 46.2-46.5 Psaumes 48.9
10 Bwana aliketi juu ya Gharika; Naam, Bwana ameketi hali ya mfalme milele.
Psaumes 10.16 Genèse 6.17 Marc 4.41 1 Timothée 1.17 Psaumes 2.6-2.9
11 Bwana atawapa watu wake nguvu; Bwana atawabariki watu wake kwa amani.
Nombres 6.24-6.27 Esaïe 40.31 Esaïe 41.10 Esaïe 40.29 Psaumes 68.35

Cette Bible est dans le domaine public.