Fermer le panneau de recherche

Appuyez sur Entrée pour rechercher ou ESC pour annuler.

Psaumes 129.8
Bible en Swahili de l’est


Jugement des oppresseurs

1 Mara nyingi wamenitesa tangu ujana wangu, Israeli na aseme sasa,
Psaumes 124.1 Osée 2.15 Jérémie 2.2 Osée 11.1 Psaumes 120.1
2 Mara nyingi wamenitesa tangu ujana wangu, Lakini hawakuniweza.
Matthieu 16.18 Apocalypse 12.8-12.9 Psaumes 34.19 Romains 8.35-8.39 Psaumes 118.13
3 Wakulima wamelima mgongoni mwangu, Wamefanya mirefu mifuo yao.
Esaïe 51.23 Psaumes 141.7
4 Bwana ndiye mwenye haki, Amezikata kamba zao wasio haki.
Néhémie 9.33 Esdras 9.15 Lamentations 1.18 Psaumes 119.137 Lamentations 3.22
5 Na waaibishwe, warudishwe nyuma, Wote wanaoichukia Sayuni.
Zacharie 1.14-1.17 Zacharie 12.6 1 Corinthiens 16.22 Psaumes 122.6 Esaïe 37.28-37.29
6 Na wawe kama majani ya darini Yanyaukayo kabla hayajamea.
Psaumes 37.2 Psaumes 92.7 Jérémie 17.5-17.6 Esaïe 37.27 Matthieu 13.6
7 Ambayo mvunaji haujazi mkono wake, Wala mfunga miganda kifua chake.
Galates 6.8 Psaumes 126.6 Osée 8.7 Esaïe 17.10-17.11
8 Wala hawasemi wapitao, Amani ya Bwana ikae nanyi, Twawabariki kwa jina la Bwana.
Psaumes 118.26 Ruth 2.4

Cette Bible est dans le domaine public.