Fermer le panneau de recherche

Appuyez sur Entrée pour rechercher ou ESC pour annuler.

Job 27.16
Bible en Swahili de l’est


Conclusion de Job

1 Kisha Ayubu akaendelea na mithali yake, na kusema,
Nombres 24.15 Nombres 23.7 Job 29.1 Psaumes 78.2 Nombres 24.3
2 Kama aishivyo Mungu, aliyeniondolea haki yangu; Huyo Mwenyezi aliyeitesa nafsi yangu;
Job 34.5 Nombres 14.21 2 Rois 4.27 1 Samuel 25.34 Job 10.3
3 (Kwa kuwa uhai wangu ukali mzima ndani yangu, Na roho ya Mungu i katika pua yangu;)
Genèse 2.7 Job 33.4 Esaïe 2.22 Actes 17.25 Job 32.8
4 Hakika midomo yangu haitanena yasiyo haki, Wala ulimi wangu hautatamka udanganyifu.
Job 13.7 2 Corinthiens 11.10 Job 34.6 Job 6.28 Jean 8.55
5 Hasha! Nisiwahesabie ninyi kuwa na haki; Hata nitakapokufa sitajiondolea uelekevu wangu.
Job 13.15 Job 2.9 Job 32.3 Proverbes 17.15 Galates 2.11
6 Haki yangu naishika sana, wala sitaiacha; Moyo wangu hautanisuta wakati nikiwapo hai.
Job 2.3 Actes 24.16 2 Corinthiens 12.11 1 Jean 3.20-3.21 Psaumes 18.20-18.23
7 Adui yangu na awe kama huyo mwovu, Na mwenye kuondoka kinyume changu na awe kama asiye haki.
2 Samuel 18.32 1 Samuel 25.26 Daniel 4.19
8 Kwani tumaini la mpotovu ni nini, ingawa ajipatia faida, Hapo Mungu amwondoleapo roho yake?
Matthieu 16.26 Luc 12.20-12.21 Job 8.13 Job 11.20 Jacques 5.1-5.3
9 Je! Mungu atakisikia kilio chake, Taabu zitakapomfikilia?
Proverbes 1.28 Esaïe 1.15 Jérémie 14.12 Michée 3.4 Job 35.12-35.13
10 Je! Atajifurahisha katika Mwenyezi, Na kumlingana Mungu nyakati zote?
Psaumes 37.4 Job 22.26-22.27 Luc 18.1 Habakuk 3.18 Psaumes 78.34-78.36
11 Nitawafundisha ninyi mambo ya mkono wa Mungu; Hayo yaliyo kwa Mwenyezi sitayaficha.
Job 6.10 Actes 20.20 Psaumes 71.17 Job 4.3-4.4 Deutéronome 4.5
12 Tazama, ninyi nyote mmeyaona wenyewe; Mbona basi mmebatilika kabisa?
Ecclésiaste 8.14 Job 21.28-21.30 Job 13.4-13.9 Job 19.2-19.3 Job 6.25-6.29
13 Hii ndiyo sehemu ya mtu mwovu kwa Mungu, Na urithi wa hao waoneao, waupokeao kwa Mwenyezi.
Job 20.19-20.29 Psaumes 11.6 Psaumes 12.5 Job 15.20-15.35 Job 31.3
14 Watoto wake wakiongezeka ni kwa upanga; Na wazao wake hawatashiba chakula.
Deutéronome 28.41 Luc 23.29 Job 20.10 Osée 9.13-9.14 2 Rois 10.6-10.10
15 Hao watakaosalia kwake watazikwa katika kufa, Wala wajane wake waliofiwa na waume hawataomboleza.
Psaumes 78.64 Jérémie 22.18 1 Rois 14.10-14.11 1 Rois 21.21-21.24 1 Rois 16.3-16.4
16 Ajapokusanya fedha kama mavumbi, Na kujifanyia mavazi kama udongo kwa wingi;
Zacharie 9.3 Matthieu 6.19 Habakuk 2.6 Job 22.24 1 Rois 10.27
17 Yumkini kuyatengeza, lakini wenye haki watayavaa, Nao wasio na hatia watazigawanya hizo fedha.
Proverbes 13.22 Ecclésiaste 2.26 Proverbes 28.8
18 Yeye hujenga nyumba yake kama mdudu, Na kama kibanda afanyacho mlinzi.
Job 8.14-8.15 Esaïe 1.8 Esaïe 51.8 Esaïe 38.12 Lamentations 2.6
19 Yeye hujilaza hali ni tajiri, lakini ndio mwisho; Hufunua macho yake, naye hayuko.
Job 24.24 Jérémie 8.2 Job 14.12-14.15 Job 21.23-21.26 Job 14.10
20 Vitisho vyampata kama maji mengi; Dhoruba humwiba usiku.
Job 15.21 Job 18.11 Daniel 5.30 Job 20.8 Job 20.23
21 Upepo wa mashariki humchukua, naye huondoka; Na kumkumba atoke mahali pake.
Job 7.10 Jérémie 18.17 Exode 9.23-9.25 Job 21.18 Psaumes 83.15
22 Kwani Mungu atamtupia asimhurumie; Angependa kuukimbia mkono wake.
Job 11.20 Ezéchiel 5.11 Romains 8.32 2 Pierre 2.4-2.5 Job 20.24
23 Watu watampigia makofi, Na kumzomea atoke mahali pake.
Lamentations 2.15 Sophonie 2.15 Proverbes 11.10 Esther 9.22-9.25 Apocalypse 18.20

Cette Bible est dans le domaine public.