Fermer le panneau de recherche

Appuyez sur Entrée pour rechercher ou ESC pour annuler.

Job 17.6
Bible en Swahili de l’est


1 Roho yangu imezimika, siku zangu zimekoma, Kaburi i tayari kunipokea.
Psaumes 88.3-88.5 Esaïe 38.10-38.14 Job 17.13-17.14 Esaïe 57.16 Job 19.17
2 Ni kweli wako kwangu wenye kufanya dhihaka, Jicho langu hukaa katika kunifanyia uchungu kwao.
1 Samuel 1.6-1.7 Job 16.20 Job 12.4 Psaumes 91.1 Psaumes 25.13
3 Nipe rehani basi, uwe dhamana kwa ajili yangu kwako wewe mwenyewe; Kuna nani atakayeniwekea dhamana?
Proverbes 11.15 Psaumes 119.122 Esaïe 38.14 Hébreux 7.22 Proverbes 20.16
4 Kwani mioyo yao imeificha ufahamu; Kwa hiyo hutawakuza.
Matthieu 11.25 1 Corinthiens 1.20 Esaïe 19.14 2 Samuel 17.14 Matthieu 13.11
5 Awafitiniye rafiki zake wawe mawindo, Hata macho ya watoto wake yataingia kiwi.
Job 11.20 Proverbes 20.19 Proverbes 29.5 Exode 20.5 Deutéronome 28.65
6 Amenifanya niwe simo kwa watu; Nimekuwa mwenye kuchukiwa kwa wazi.
Job 30.9 Psaumes 44.14 Esaïe 5.12 1 Rois 9.7 Genèse 31.27
7 Jicho langu nalo limekuwa giza kwa sababu ya majonzi, Na via vyangu vyote vimekuwa kama kivuli.
Psaumes 6.7 Job 16.16 Psaumes 109.23 Job 16.8 Ecclésiaste 6.12
8 Walekevu watayastaajabia hayo, Na asiye na hatia atajiamsha juu ya mpotovu.
Psaumes 73.12-73.15 Job 22.19 Job 34.30 Ecclésiaste 5.8 Romains 11.33
9 Lakini mwenye haki ataishika njia yake, Naye mwenye mikono safi atazidi kupata nguvu.
Proverbes 4.18 Job 22.30 1 Jean 2.19 Esaïe 35.8-35.10 Psaumes 84.7
10 Lakini rudini; ninyi nyote, njoni sasa; Wala sitampata mtu mwenye hekima kati yenu.
Job 42.7 Job 6.29 Job 17.4 Job 12.2 Malachie 3.18
11 Siku zangu zimepita, makusudi yangu yamevunjika, Hata hayo niliyo nayo moyoni mwangu.
Job 7.6 Lamentations 3.37 Jacques 4.13-4.15 Esaïe 38.10 Proverbes 16.9
12 Wabadili usiku kuwa mchana; Wasema, Mwanga u karibu kwa sababu ya giza.
Job 24.14-24.16 Deutéronome 28.67 Job 7.13-7.14 Job 7.3-7.4
13 Nikitazamia kuzimu kuwa nyumba yangu; Nikitandika malazi yangu gizani;
Job 17.1 Psaumes 139.8 Psaumes 27.14 Job 10.21-10.22 Esaïe 57.2
14 Ikiwa nimeuita uharibifu, Wewe u baba yangu; Na kuliambia buu, Wewe u mama yangu, na umbu langu;
Psaumes 16.10 Psaumes 49.9 Actes 2.27-2.31 Actes 13.34-13.37 Job 30.30
15 Basi, tumaini langu li wapi? Na tumaini langu, ni nani atakayeliona?
Job 13.15 Job 19.10 Job 4.6 Job 7.6 Job 6.11
16 Litashuka kwenye makomeo ya kuzimu, Itakapokuwapo raha mavumbini.
Job 3.17-3.19 Jonas 2.6 Job 33.18-33.28 Job 18.13-18.14 2 Corinthiens 1.9

Cette Bible est dans le domaine public.