Fermer le panneau de recherche

Appuyez sur Entrée pour rechercher ou ESC pour annuler.

Genèse 36.24
Bible en Swahili de l’est


Origine d’Édom

1 Hivi ndivyo vizazi vya Esau, ndiye Edomu.
Genèse 22.17 Genèse 27.35-27.41 1 Chroniques 1.35 Genèse 25.24-25.34 Genèse 32.3-32.7
2 Esau alitwaa binti za Kanaani, kuwa wakeze; Ada, binti Eloni, Mhiti, na Oholibama, binti Ana, binti Sibeoni, Mhivi;
Genèse 36.25 Genèse 27.46 Genèse 28.9 Genèse 9.25 Genèse 26.34-26.35
3 na Basemathi, binti Ishmaeli, nduguye Nebayothi.
Genèse 28.9 Genèse 25.13
4 Ada akamzalia Esau Elifazi; na Basemathi alizaa Reueli.
1 Chroniques 1.35 Job 2.11 Nombres 10.29 Exode 2.18
5 Oholibama alizaa Yeushi, na Yalamu, na Kora. Hao ndio wana wa Esau aliozaliwa katika nchi ya Kanaani.
Genèse 35.29
6 Esau akawatwaa wakeze, na wanawe, na binti zake, na watu wote wa nyumbani mwake, na ng’ombe zake, na wanyama wake wote, na mali yake yote, aliyoyapata katika nchi ya Kanaani; akaenda mpaka nchi iliyo mbali na Yakobo nduguye.
Genèse 13.11 Genèse 28.4 Genèse 12.5 Genèse 17.8 Genèse 13.6
7 Maana mali yao yalikuwa mengi wasiweze kukaa pamoja, wala haikuweza nchi ya kusafiri kwao kuwachukua, kwa sababu ya wanyama wao.
Genèse 17.8 Genèse 13.6 Genèse 28.4 Hébreux 11.9 Genèse 13.11
8 Esau akakaa katika mlima Seiri, Esau ndiye Edomu.
Genèse 32.3 2 Chroniques 20.10 Josué 24.4 2 Chroniques 20.23 1 Chroniques 4.42
9 Hivi ni vizazi vya Esau, baba ya Edomu katika mlima Seiri.
Genèse 19.37
10 Haya ndiyo majina ya wana wa Esau; Elifazi, mwana wa Ada mkewe Esau. Reuli, mwana wa Basemathi, mkewe Esau.
1 Chroniques 1.35-1.54 Genèse 36.3-36.4
11 Na wana wa Elifazi, ni Temani na Omari, na Sefo, na Gatamu, na Kenazi.
Genèse 36.15-36.16 1 Chroniques 1.35-1.36
12 Na Timna alikuwa suria wa Elifazi, mwana wa Esau; naye akamzalia Elifazi Amaleki. Hao ndio wana wa Ada, mkewe Esau.
Deutéronome 25.17-25.19 Exode 17.8-17.16 1 Samuel 15.2-15.9 Genèse 14.7 Genèse 36.22
13 Na hawa ni wana wa Reueli, Nahathi, na Zera, na Shama na Miza. Hao walikuwa wana wa Basemathi, mkewe Esau.
1 Chroniques 1.37 Genèse 36.17
14 Na hawa ni wana wa Oholibama, binti Ana, binti Sibeoni, mkewe Esau; akamzalia Esau, Yeushi, na Yalamu, na Kora.
Genèse 36.2 Genèse 36.18 Genèse 36.5 1 Chroniques 1.35
15 Hawa ndio majumbe wao wana wa Esau; wana wa Elifazi, mzaliwa wa kwanza wa Esau; jumbe Temani, jumbe Omari, jumbe Sefo, jumbe Kenazi,
Job 2.11 Genèse 36.11-36.12 Ezéchiel 25.13 Job 21.8 Exode 15.15
16 jumbe Kora, jumbe Gatamu, jumbe Amaleki. Hao ndio majumbe, waliotoka kwa Elifazi katika nchi ya Edomu. Hao ni wana wa Ada.
Exode 15.15
17 Na hawa ni wana wa Reueli, mwanawe Esau; jumbe Nahathi, jumbe Zera, jumbe Shama, jumbe Miza. Hao ndio majumbe waliotoka kwa Reueli katika nchi ya Edomu. Hao ni wana wa Basemathi, mkewe Esau.
Genèse 36.13 1 Chroniques 1.37 Genèse 36.4
18 Na hawa ni wana wa Oholibama, mkewe Esau; jumbe Yeushi, jumbe Yalamu, jumbe Kora. Hao ndio majumbe waliotoka kwa Oholibama, binti Ana, mkewe Esau.
Genèse 36.14 1 Chroniques 1.35 Genèse 36.5
19 Hao ni wana wa Esau, na hao ndio majumbe wao; naye Esau ndiye Edomu.
20 Hawa ni wana wa Seiri, Mhori, wenyeji wa nchi ile; Lotani, na Shobali, na Sibeoni, na Ana,
Genèse 14.6 Deutéronome 2.12 Deutéronome 2.22 1 Chroniques 1.38-1.42 Genèse 36.2
21 na Dishoni, na Eseri, na Dishani. Hao ndio majumbe waliotoka katika Wahori, wana wa Seiri, katika nchi ya Edomu.
22 Na wana wa Lotani, ni Hori, na Hemamu; na umbu lake Lotani ni Timna.
1 Chroniques 1.39
23 Na hawa ni wana wa Shobali, Alvani, na Manahathi, na Ebali, na Shefo, na Onamu.
1 Chroniques 1.40
24 Na hawa ni wana wa Sibeoni, Aya, na Ana; ni yule Ana aliyeona chemchemi za maji ya moto katika jangwa, alipokuwa akichunga punda za Sibeoni babaye.
1 Rois 1.38 2 Samuel 18.9 1 Rois 1.44 1 Rois 4.28 Lévitique 19.19
25 Na hawa ni wana wa Ana, Dishoni, na Oholibama, binti Ana.
Genèse 36.2 Genèse 36.14 Genèse 36.18 Genèse 36.5 1 Chroniques 1.41
26 Na hawa ni wana wa Dishoni, Hemdani, na Eshbani, na Ithrani, na Kerani.
1 Chroniques 1.41
27 Na hawa ni wana wa Eseri, Bilhani, na Zaawani, na Akani.
1 Chroniques 1.38 Genèse 36.21 1 Chroniques 1.42
28 Na hawa ni wana wa Dishani, Usi, na Arani.
Job 1.1 Lamentations 4.21 Jérémie 25.20
29 Hawa ndio majumbe waliotoka katika Wahori; jumbe Lotani, jumbe Shobali, jumbe Sibeoni, jumbe Ana,
Genèse 36.20 1 Chroniques 1.41-1.42 1 Chroniques 1.38 Genèse 36.28
30 jumbe Dishoni, jumbe Eseri jumbe Dishani. Hao ndio majumbe waliotoka katika Wahori, kwa habari za majumbe yao, katika nchi ya Seiri.
Esaïe 23.15 Daniel 7.17 Daniel 7.23 2 Rois 11.19
31 Na hawa ndio wafalme waliomiliki katika nchi ya Edomu, kabla ya kumiliki mfalme ye yote juu ya wana wa Israeli.
Genèse 17.6 1 Chroniques 1.43-1.50 Genèse 17.16 Nombres 20.14 Deutéronome 33.29
32 Bela wa Beori alimiliki katika Edomu, na jina la mji wake ni Dinhaba.
33 Akafa Bela, akamiliki Yobabu mwana wa Zera, wa Bosra, badala yake.
Jérémie 49.22 Jérémie 49.13 Michée 2.12 Esaïe 34.6 Esaïe 63.1
34 Akafa Yobabu, akamiliki Hushamu, wa nchi ya Watemani, badala yake.
Genèse 36.11 Jérémie 49.7 Genèse 36.15 Job 2.11
35 Akafa Hushamu, akamiliki Hadadi wa Bedadi badala yake, naye ndiye aliyepiga Midiani katika nyika ya Moabu, na jina la mji wake ni Avithi.
36 Akafa Hadadi, akamiliki Samla wa Masreka badala yake.
37 Akafa Samla, na Shauli wa Rehobothi, ulio karibu na mto, akamiliki badala yake.
1 Chroniques 1.48 Genèse 10.11
38 Akafa Shauli, akamiliki Baal-hanani, mwana wa Akbori, badala yake.
39 Akafa Baal-hanani, mwana wa Akbori, akamiliki Hadadi badala yake; na jina la mji wake ni Pau; na jina la mkewe ni Mehetabeli, binti Matredi, binti Mezahabu.
1 Chroniques 1.50 Exode 15.15
40 Na hayo ndiyo majina ya majumbe waliotoka kwa Esau, kufuata jamaa zao, na mahali pao, kwa majina yao. Jumbe Timna, jumbe Alva, jumbe Yethethi,
1 Chroniques 1.51-1.54 Genèse 36.31 Exode 15.15 Genèse 36.15-36.16
41 jumbe Oholibama, jumbe Ela, jumbe Pinoni,
42 jumbe Kenazi, jumbe Temani, jumbe Mibsari,
43 jumbe Magdieli, jumbe Iramu. Hao ndio majumbe wa Edomu, kufuata makao yao, katika nchi ya mamlaka yao. Naye huyo ndiye Esau, baba ya Edomu.
Genèse 36.30-36.31 Genèse 45.8 1 Chroniques 4.14 Deutéronome 2.5 Genèse 25.30

Cette Bible est dans le domaine public.