Fermer le panneau de recherche

Appuyez sur Entrée pour rechercher ou ESC pour annuler.

Psaumes 105.19
Bible en Swahili de l’est


La fidélité de Dieu envers Israël

1 Haleluya. Mshukuruni Bwana,liitieni jina ,Wajulisheni watu matendo yake.
Esaïe 12.4 Psaumes 145.11-145.12 Joël 2.32 Psaumes 106.1 1 Chroniques 16.34
2 Mwimbieni, mwimbieni kwa zaburi, Zitafakarini ajabu zake zote.
Psaumes 77.12 Psaumes 119.27 Psaumes 98.5 Ephésiens 5.19 Luc 24.14-24.53
3 Jisifuni kwa jina lake takatifu, Na ufurahi moyo wao wamtafutao Bwana.
Luc 11.9-11.10 Galates 6.14 Esaïe 45.19 Esaïe 55.6-55.7 1 Corinthiens 1.29
4 Mtakeni Bwana na nguvu zake, Utafuteni uso wake sikuzote.
Psaumes 27.8 Psaumes 78.61 2 Chroniques 6.41 Amos 5.4-5.6 Sophonie 2.2-2.3
5 Zikumbukeni ajabu zake alizozifanya, Miujiza yake na hukumu za kinywa chake.
Psaumes 77.11 Esaïe 43.18-43.19 Psaumes 119.13 Deutéronome 8.2 Deutéronome 32.7
6 Enyi wazao wa Ibrahimu, mtumishi wake; Enyi wana wa Yakobo, wateule wake.
Exode 3.6 Psaumes 106.5 Psaumes 135.4 Jean 15.16 1 Pierre 2.9
7 Yeye, Bwana, ndiye Mungu wetu; Duniani mwote mna hukumu zake.
Esaïe 26.9 Psaumes 100.3 Psaumes 48.10-48.11 Exode 20.2 Deutéronome 26.17-26.18
8 Analikumbuka agano lake milele; Neno lile aliloviamuru vizazi elfu.
Psaumes 111.5 Deutéronome 7.9 Psaumes 105.42 Psaumes 106.45 Néhémie 1.5
9 Agano alilofanya na Ibrahimu, Na uapo wake kwa Isaka.
Genèse 17.2 Genèse 26.3 Genèse 22.16-22.18 Genèse 12.7 Néhémie 9.8
10 Alilomthibitishia Yakobo liwe amri, Na Israeli liwe agano la milele.
2 Samuel 23.5 Genèse 28.13-28.15 Genèse 17.7-17.8 Hébreux 13.20
11 Akisema, Nitakupa wewe nchi ya Kanaani, Iwe urithi wenu mliopimiwa.
Genèse 13.15 Genèse 15.18 Psaumes 78.55 Genèse 12.7 Genèse 26.3-26.4
12 Walipokuwa watu wawezao kuhesabiwa, Naam, watu wachache na wageni ndani yake,
Genèse 34.30 Hébreux 11.9 Deutéronome 7.7 Genèse 23.4 Deutéronome 26.5
13 Wakatanga-tanga toka taifa hata taifa, Toka ufalme mmoja hata kwa watu wengine.
14 Hakumwacha mtu awaonee, Hata wafalme aliwakemea kwa ajili yao.
Genèse 35.5 Genèse 31.24-31.29 Exode 7.16-7.17 Genèse 20.1-20.7 Genèse 12.14-12.17
15 Akisema, Msiwaguse masihi wangu, Wala msiwadhuru nabii zangu.
Genèse 26.11 Genèse 20.7 1 Jean 2.27 Genèse 49.8-49.33 Genèse 27.39-27.40
16 Akaiita njaa iijilie nchi, Akakiharibu chakula chote walichokitegemea.
Ezéchiel 4.16 Esaïe 3.1 Lévitique 26.26 Genèse 41.54 Psaumes 104.15
17 Alimpeleka mtu mbele yao, Yusufu aliuzwa utumwani.
Actes 7.9 Genèse 37.36 Genèse 50.20 Genèse 39.1 Genèse 37.27-37.28
18 Walimwumiza miguu yake kwa pingu, Akatiwa katika minyororo ya chuma.
Genèse 39.20 Genèse 40.15 Actes 16.24 Psaumes 107.10
19 Hata wakati wa kuwadia neno lake, Ahadi ya Bwana ilimjaribu.
Actes 7.10 Proverbes 21.1 Genèse 40.20-40.21 Daniel 2.30 Genèse 41.11-41.16
20 Mfalme alituma watu akamfungua, Mkuu wa watu akamwachia.
Genèse 41.14
21 Akamweka kuwa bwana wa nyumba yake, Na mwenye amri juu ya mali zake zote.
Genèse 41.40-41.44 Genèse 41.55 Genèse 45.26 Genèse 45.8
22 Awafunge masheki wake kama apendavyo, Na kuwafundisha wazee wake hekima.
Genèse 41.33 Esaïe 19.11 Genèse 41.38 Genèse 41.44
23 Israeli naye akaingia Misri, Yakobo akawa mgeni katika nchi ya Hamu.
Actes 13.17 Psaumes 106.22 Psaumes 78.51 Genèse 46.2-46.7 Genèse 45.9-45.11
24 Akawajalia watu wake wazae sana, Akawafanya kuwa hodari kuliko watesi wao.
Deutéronome 26.5 Genèse 46.3 Hébreux 11.12 Genèse 13.16 Exode 1.7-1.9
25 Akawageuza moyo wawachukie watu wake, Wakawatendea hila watumishi wake.
Actes 7.19 Exode 9.16 Deutéronome 2.30 Exode 10.1 Genèse 15.13
26 Akamtuma Musa, mtumishi wake, Na Haruni ambaye amemchagua.
Exode 3.10 Exode 29.5-29.46 Exode 28.12 Exode 28.1-28.2 Nombres 16.40
27 Akaweka mambo ya ishara zake kati yao, Na miujiza katika nchi ya Hamu.
Psaumes 78.43-78.51 Psaumes 106.22 Psaumes 105.23 Jérémie 32.20-32.21 Psaumes 135.8-135.9
28 Alituma giza, kukafunga giza, Wala hawakuyaasi maneno yake.
Psaumes 99.7 2 Pierre 2.4 Ezéchiel 2.4-2.8 Joël 2.31 Luc 23.44-23.45
29 Aliyageuza maji yao yakawa damu, Akawafisha samaki wao.
Exode 7.20-7.21 Psaumes 78.44 Apocalypse 16.3 Ezéchiel 29.4-29.5 Esaïe 50.2
30 Nchi yao ilijaa vyura, Vyumbani mwa wafalme wao.
Psaumes 78.45 Apocalypse 16.13-16.14 Exode 8.3-8.14
31 Alisema, kukaja makundi ya mainzi, Na chawa mipakani mwao mwote.
Exode 8.21-8.24 Exode 8.16-8.18 Psaumes 78.45 Esaïe 7.18
32 Badala ya mvua aliwapa mvua ya mawe, Na moto wa miali katika nchi yao.
Apocalypse 16.21 Exode 9.18-9.28 Psaumes 78.47-78.48 Apocalypse 11.19 Apocalypse 8.7
33 Akaipiga mizabibu yao na mitini yao, Akaivunja miti ya mipaka yao.
Psaumes 78.47 Apocalypse 9.4
34 Alisema, kukaja nzige, Na tunutu wasiohesabika;
Exode 10.12-10.15 Joël 1.4-1.7 Apocalypse 9.3-9.10 Psaumes 78.46 Joël 2.25
35 Wakaila miche yote ya nchi yao, Wakayala matunda ya ardhi yao.
36 Akawapiga wazaliwa wa kwanza katika nchi, Malimbuko ya nguvu zao.
Psaumes 78.51 Genèse 49.3 Psaumes 135.8 Psaumes 136.10 Hébreux 11.28
37 Akawatoa hali wana fedha na dhahabu, Katika kabila zao asiwepo mwenye kukwaa.
Exode 12.35-12.36 Actes 13.17 Genèse 15.14 Exode 3.22
38 Misri ilifurahi walipoondoka, Maana kwa ajili yao hofu imewaangukia.
Exode 12.33 Exode 15.16 Josué 2.9 Genèse 35.5 Exode 10.7
39 Alitandaza wingu liwe funiko, Na moto utoe nuru usiku.
Néhémie 9.12 Psaumes 78.14 Esaïe 4.5 Exode 14.24 Néhémie 9.19
40 Walipotaka akaleta kware, Akawashibisha chakula cha mbinguni.
Psaumes 78.18 Exode 16.12-16.35 Deutéronome 8.3 Jean 6.48-6.58 Psaumes 78.23-78.28
41 Akaufunua mwamba, kukabubujika maji, Yakapita pakavuni kama mto.
Exode 17.6 Nombres 20.11 1 Corinthiens 10.4 Psaumes 78.15-78.16 Esaïe 48.21
42 Maana alilikumbuka neno lake takatifu, Na Ibrahimu, mtumishi wake.
Exode 2.24 Luc 1.72-1.73 Genèse 15.13-15.14 Genèse 12.7 Michée 7.20
43 Akawatoa watu wake kwa shangwe, Na wateule wake kwa nyimbo za furaha.
Psaumes 78.52-78.53 Deutéronome 4.37-4.38 Exode 15.1-15.21 Actes 7.36 Esaïe 55.12
44 Akawapa nchi za mataifa, wakairithi kazi ya watu;
Psaumes 78.55 Josué 24.13 Josué 11.23 Deutéronome 6.10-6.11 Josué 5.11
45 Ili wazishike amri zake, na kuzitii sheria zake. Haleluya.
Deutéronome 4.40 Ephésiens 2.8-2.10 Tite 2.14 Deutéronome 5.33-6.2 Deutéronome 4.1

Cette Bible est dans le domaine public.