Fermer le panneau de recherche

Appuyez sur Entrée pour rechercher ou ESC pour annuler.

Psaumes 6.5
Bible en Swahili de l’est


Appel à la bonté de Dieu

1 Bwana, usinikemee kwa hasira yako, Wala usinirudi kwa ghadhabu yako.
Psaumes 38.1 Jérémie 46.28 1 Chroniques 15.21 Psaumes 12.1 1 Corinthiens 11.31-11.32
2 Bwana, unifadhili, maana ninanyauka; Bwana, uniponye, mifupa yangu imefadhaika.
Osée 6.1 Psaumes 31.10 Psaumes 30.2 Nombres 12.13 Psaumes 38.7
3 Na nafsi yangu imefadhaika sana; Na Wewe, Bwana, hata lini?
Psaumes 90.13 Jean 12.27 Psaumes 13.1-13.2 Psaumes 77.2-77.3 Psaumes 42.5
4 Bwana urudi, uniopoe nafsi yangu, Uniokoe kwa ajili ya fadhili zako.
Psaumes 17.13 Psaumes 116.4 Psaumes 80.14 Psaumes 90.13 Psaumes 22.20
5 Maana mautini hapana kumbukumbu lako; Katika kuzimu ni nani atakayekushukuru?
Psaumes 88.10-88.12 Psaumes 30.9 Psaumes 115.17 Ecclésiaste 9.10 Esaïe 38.18-38.19
6 Nimechoka kwa kuugua kwangu; Kila usiku nakieleza kitanda changu; Nalilowesha godoro langu kwa machozi yangu.
Psaumes 69.3 Psaumes 42.3 Psaumes 38.9 Job 16.20 Job 10.1
7 Jicho langu limeharibika kwa masumbufu, Na kuchakaa kwa sababu yao wanaoniudhi.
Psaumes 38.10 Job 17.7 Psaumes 88.9 Lamentations 5.17 Psaumes 31.9-31.10
8 Ondokeni kwangu, ninyi nyote mtendao uovu; Kwa kuwa Bwana ameisikia sauti ya kilio changu.
Psaumes 119.115 Luc 13.27 Matthieu 7.23 Psaumes 3.4 Matthieu 25.41
9 Bwana ameisikia dua yangu; Bwana atayatakabali maombi yangu.
Psaumes 66.19-66.20 Psaumes 116.1-116.2 Psaumes 118.5 Psaumes 40.1-40.2 2 Corinthiens 1.10-1.11
10 Adui zangu wote wataaibika na kufadhaika, Watarudi nyuma, kwa ghafula wataaibika.
Psaumes 132.18 Malachie 3.18 Jérémie 20.11 Psaumes 86.17 Psaumes 71.13

Cette Bible est dans le domaine public.