Fermer le panneau de recherche

Appuyez sur Entrée pour rechercher ou ESC pour annuler.

Psaumes 48.12
Bible en Swahili de l’est


La beauté de Sion

1 Bwana ndiye aliye mkuu, Na mwenye kusifiwa sana. Katika mji wa Mungu wetu, Katika mlima wake mtakatifu.
Michée 4.1 Zacharie 8.3 Psaumes 46.4 Esaïe 2.2-2.3 Psaumes 145.3
2 Kuinuka kwake ni mzuri sana, Ni furaha ya dunia yote. Mlima Sayuni pande za kaskazini, Mji wa Mfalme mkuu.
Psaumes 50.2 Matthieu 5.35 Lamentations 2.15 Esaïe 14.13 Ezéchiel 20.6
3 Mungu katika majumba yake Amejijulisha kuwa ngome.
2 Chroniques 14.9-14.15 Zacharie 2.4-2.5 Psaumes 46.7 Esaïe 4.5-4.6 Esaïe 37.33-37.36
4 Maana, tazama, wafalme walikusanyika; Walipita wote pamoja.
2 Samuel 10.6-10.19 Apocalypse 17.12-17.14 Esaïe 8.8-8.10 Apocalypse 19.20 Esaïe 29.5-29.8
5 Waliona, mara wakashangaa; Wakafadhaika na kukimbia.
Exode 14.25 2 Rois 7.6-7.7 2 Rois 19.35-19.37
6 Papo hapo tetemeko liliwashika, Utungu kama wa mwanamke azaaye.
Osée 13.13 Esaïe 13.6-13.8 Jérémie 30.6-30.7 Exode 15.15-15.16 Esaïe 21.3
7 Kwa upepo wa mashariki Wavunja jahazi za Tarshishi.
Jérémie 18.17 1 Rois 22.48 Ezéchiel 27.25-27.26 Esaïe 2.16 1 Rois 10.22
8 Kama tulivyosikia, ndivyo tulivyoona, Katika mji wa Bwana wa majeshi. Mji wa Mungu wetu; Mungu ataufanya imara hata milele.
Psaumes 87.5 Psaumes 48.1-48.2 Esaïe 2.2 Michée 4.1 Matthieu 16.18
9 Tumezitafakari fadhili zako, Ee Mungu, Katikati ya hekalu lako.
Psaumes 26.3 Psaumes 40.10 Psaumes 77.10-77.14 Psaumes 63.2-63.3 Esaïe 26.8
10 Kama lilivyo jina lako, Ee Mungu, Ndivyo na sifa yako hata miisho ya dunia. Mkono wako wa kuume umejaa haki;
Deutéronome 28.58 Josué 7.9 Malachie 1.11 Psaumes 113.3 Malachie 1.14
11 Na ufurahi mlima Sayuni. Binti za Yuda na washangilie Kwa sababu ya hukumu zako.
Psaumes 97.8 Psaumes 58.10 Zacharie 9.9 Cantique 3.5 Apocalypse 18.20
12 Tembeeni katika Sayuni, Uzungukeni mji, Ihesabuni minara yake,
Matthieu 24.1-24.2 Néhémie 12.31-12.40 Esaïe 33.18-33.20
13 Tieni moyoni boma zake, Yafikirini majumba yake, Mpate kuwaambia kizazi kitakachokuja.
Psaumes 122.7 Deutéronome 11.19 Esaïe 58.12 Psaumes 71.18 Actes 15.14-15.16
14 Kwa maana ndivyo alivyo MUNGU, Mungu wetu. Milele na milele Yeye ndiye atakayetuongoza.
Psaumes 23.3-23.4 Psaumes 73.24 Esaïe 58.11 Psaumes 25.9 Lamentations 3.21

Cette Bible est dans le domaine public.