Fermer le panneau de recherche

Appuyez sur Entrée pour rechercher ou ESC pour annuler.

Psaumes 129
Bible en Swahili de l’est


Jugement des oppresseurs

1 Mara nyingi wamenitesa tangu ujana wangu, Israeli na aseme sasa,
Psaumes 124.1 Osée 2.15 Jérémie 2.2 Osée 11.1 Psaumes 120.1
2 Mara nyingi wamenitesa tangu ujana wangu, Lakini hawakuniweza.
Matthieu 16.18 Psaumes 34.19 Romains 8.35-8.39 Psaumes 118.13 Psaumes 125.1
3 Wakulima wamelima mgongoni mwangu, Wamefanya mirefu mifuo yao.
Esaïe 51.23 Psaumes 141.7
4 Bwana ndiye mwenye haki, Amezikata kamba zao wasio haki.
Esdras 9.15 Lamentations 1.18 Psaumes 119.137 Lamentations 3.22 Daniel 9.7
5 Na waaibishwe, warudishwe nyuma, Wote wanaoichukia Sayuni.
Zacharie 12.6 1 Corinthiens 16.22 Psaumes 122.6 Esaïe 37.28-37.29 Psaumes 71.13
6 Na wawe kama majani ya darini Yanyaukayo kabla hayajamea.
Psaumes 37.2 Jérémie 17.5-17.6 Esaïe 37.27 Matthieu 13.6 2 Rois 19.26
7 Ambayo mvunaji haujazi mkono wake, Wala mfunga miganda kifua chake.
Galates 6.8 Osée 8.7 Esaïe 17.10-17.11 Psaumes 126.6
8 Wala hawasemi wapitao, Amani ya Bwana ikae nanyi, Twawabariki kwa jina la Bwana.
Ruth 2.4 Psaumes 118.26

Cette Bible est dans le domaine public.