Fermer le panneau de recherche

Appuyez sur Entrée pour rechercher ou ESC pour annuler.

Genèse 2.1
Bible en Swahili de l’est


1 Mtu mmoja wa nyumba ya Lawi akaondoka akaoa binti mmoja wa Lawi.
Psaumes 33.6 Genèse 1.1 Exode 31.17 2 Rois 19.15 Deutéronome 4.19
2 Yule mwanamke akachukua mimba akazaa mwana, na alipoona ya kuwa ni mtoto mzuri akamficha miezi mitatu.
Exode 31.17 Hébreux 4.4 Deutéronome 5.14 Exode 23.12 Exode 20.8-20.11
3 Na alipokuwa hawezi kumficha tena, akampatia kisafina cha manyasi akakipaka sifa na lami, akamtia mtoto ndani yake, akakiweka katika majani kando ya mto.
Marc 2.27 Lévitique 23.3 Jérémie 17.21-17.27 Esaïe 58.13-58.14 Ezéchiel 20.12

Le jardin d’Éden

4 Umbu lake mtoto akasimama mbali ili ajue yatakayompata.
Genèse 1.4 Genèse 36.9 Exode 15.3 Genèse 5.1 Genèse 10.1
5 Basi binti Farao akashuka, aoge mtoni, na vijakazi wake wakatembea kando ya mto; naye akakiona kile kisafina katika majani, akamtuma kijakazi wake kwenda kukileta.
Genèse 1.11-1.12 Genèse 3.23 Genèse 4.12 Psaumes 104.14 Hébreux 6.7
6 Akakifungua, akamwona mtoto, na tazama, mtoto yule analia. Basi akamhurumia, akasema, Huyu ni mmojawapo wa watoto wa Waebrania.
7 Basi umbu lake mtoto akamwambia binti Farao, Je! Niende nikamwite mlezi katika wanawake wa Kiebrania, aje kwako, akunyonyeshee mtoto huyu?
1 Corinthiens 15.45 Job 33.4 Ecclésiaste 12.7 Esaïe 64.8 Psaumes 103.14
8 Binti Farao akamwambia, Haya! Enenda. Yule kijana akaenda akamwita mama yake yule mtoto.
Ezéchiel 28.13 Genèse 13.10 Genèse 3.24 Esaïe 51.3 Joël 2.3
9 Binti Farao akamwambia, Mchukue mtoto huyu, ukaninyonyeshee, nami nitakupa mshahara wako. Yule mwanamke akamtwaa mtoto, akamnyonyesha.
Genèse 3.22 Apocalypse 2.7 Apocalypse 22.14 Apocalypse 22.2 Proverbes 11.30
10 Mtoto akakua, naye akamleta kwa binti Farao, akawa mwanawe. Akamwita jina lake Musa, akasema, Ni kwa sababu nalimtoa majini.
Psaumes 46.4 Apocalypse 22.1
11 Hata siku zile, Musa alipokuwa mtu mzima, akatoka kuwaendea ndugu zake, akatazama mizigo yao. Akamwona Mmisri anampiga Mwebrania, mmojawapo wa ndugu zake.
Genèse 25.18 Genèse 10.29 Genèse 10.7 1 Samuel 15.7
12 Basi akatazama huko na huko, na alipoona ya kuwa hapana mtu, akampiga Mmisri yule, akamficha ndani ya mchanga.
Job 28.16 Exode 39.13 Nombres 11.7 Exode 28.20 Ezéchiel 28.13
13 Akatoka siku ya pili, na tazama, watu wawili wa Waebrania walikuwa wakipigana. Akamwambia yule aliyemdhulumu mwenzake, Mbona unampiga mwenzako?
Esaïe 11.11 Genèse 10.6
14 Yule akasema, Ni nani aliyekuweka wewe kuwa mkuu wetu, na mwamuzi juu yetu? Je! Wataka kuniua mimi kama ulivyomwua yule Mmisri? Musa akaogopa, akasema, Kumbe! Jambo lile limejulikana.
Daniel 10.4 Genèse 15.18 Deutéronome 11.24 Genèse 10.22 Genèse 25.18
15 Basi Farao alipopata habari, akataka kumwua Musa; lakini Musa akakimbia mbele ya Farao, akakaa katika nchi ya Midiani; akaketi karibu na kisima.
Ephésiens 4.28 Psaumes 128.2 Genèse 2.8 Genèse 2.2
16 Basi kuhani wa Midiani alikuwa na binti saba, nao wakaja wakateka maji, wakazijaza birika maji, wapate kunywesha kundi la baba yao.
1 Samuel 15.22 1 Timothée 6.17 Genèse 2.9 1 Timothée 4.4 Genèse 3.1-3.2
17 Wachungaji wakaja wakawafukuza; lakini Musa akasimama, akawasaidia, akalinywesha kundi lao.
Jacques 1.15 Romains 6.23 Genèse 3.19 Ezéchiel 18.4 Colossiens 2.13
18 Walipofika kwa Reueli baba yao, akasema, Imekuwaje hata mkarejea mapema leo?
Ecclésiaste 4.9-4.12 1 Corinthiens 11.7-11.12 1 Pierre 3.7 Genèse 3.12 1 Timothée 2.11-2.13
19 Wakasema, Mmisri mmoja alituokoa katika mikono ya wachungaji, tena zaidi ya hayo, akatutekea maji, akalinywesha kundi.
Genèse 1.20-1.26 Genèse 1.28 Genèse 2.22-2.23 Genèse 6.20 Genèse 9.2
20 Akawaambia binti zake, Yuko wapi basi? Mbona mmemwacha mtu huyo? Mwiteni, ale chakula.
Genèse 2.18
21 Musa akawa radhi kukaa kwake mtu yule, naye akampa Musa binti yake, Sipora.
Genèse 15.12 1 Samuel 26.12 Job 4.13 Job 33.15 Daniel 8.18
22 Huyo akamzalia mwana, akamwita jina lake Gershomu, maana alisema, Nimekuwa mgeni katika nchi ya ugeni.
1 Timothée 2.13 1 Corinthiens 11.8-11.9 Genèse 2.19 Proverbes 18.22 Proverbes 19.14
23 Hata baada ya siku zile nyingi mfalme wa Misri akafa; wana wa Israeli wakaugua kwa sababu ya ule utumwa, wakalia; kilio chao kikafika juu kwa Mungu kwa sababu ya ule utumwa.
Ephésiens 5.28-5.30 1 Corinthiens 11.8-11.9 Genèse 29.14 Juges 9.2 2 Samuel 5.1
24 Mungu akasikia kuugua kwao, Mungu akakumbuka agano lake alilolifanya na Ibrahimu na Isaka na Yakobo.
Matthieu 19.3-19.9 Ephésiens 5.28-5.31 Marc 10.6-10.12 1 Corinthiens 6.16-6.17 Malachie 2.14-2.16
25 Mungu akawaona wana wa Israeli, na Mungu akawaangalia.
Genèse 3.7 Genèse 3.10-3.11 Romains 10.11 Luc 9.26 Joël 2.26

Cette Bible est dans le domaine public.