Consécration et règne du divin roi
 1 Mbona mataifa wanafanya ghasia, Na makabila wanatafakari ubatili?
Psaumes 46.6  Psaumes 21.11  Psaumes 83.4-83.8  Apocalypse 17.14  Jean 11.49-11.50  
 2 Wafalme wa dunia wanajipanga, Na wakuu wanafanya shauri pamoja, Juu ya Bwana, Na juu ya masihi wake.
Jean 1.41  Luc 23.11-23.12  Psaumes 45.7  Matthieu 27.1  Apocalypse 17.12-17.14  
 3 Na tuvipasue vifungo vyao, Na kuzitupia mbali nasi kamba zao.
Jérémie 5.5  Luc 19.14  1 Pierre 2.7-2.8  Luc 19.27  
 4 Yeye aketiye mbinguni anacheka, Bwana anawafanyia dhihaka.
Psaumes 59.8  Psaumes 37.13  Esaïe 40.22  Psaumes 11.4  Proverbes 1.26  
 5 Ndipo atakaposema nao kwa hasira yake, Na kuwafadhaisha kwa ghadhabu yake.
Esaïe 11.4  Psaumes 110.5-110.6  Psaumes 50.16-50.22  Zacharie 1.15  Psaumes 21.9  
 6 Nami nimemweka mfalme wangu Juu ya Sayuni, mlima wangu mtakatifu.
Psaumes 45.6  Psaumes 48.1-48.2  Matthieu 28.18  Apocalypse 14.1  Esaïe 9.6-9.7  
 7 Nitaihubiri amri; Bwana aliniambia, Ndiwe mwanangu, Mimi leo nimekuzaa.
Actes 13.33  Matthieu 3.17  Hébreux 5.5  Hébreux 1.5-1.6  Jean 3.16  
 8 Uniombe, nami nitakupa mataifa kuwa urithi wako, Na miisho ya dunia kuwa milki yako.Psaumes 22.27  Daniel 7.13  Psaumes 72.8  Psaumes 89.27  Jean 17.4-17.5  
 9 Utawaponda kwa fimbo ya chuma, Na kuwavunja kama chombo cha mfinyanzi.
Apocalypse 12.5  Apocalypse 2.26-2.27  Psaumes 89.23  Esaïe 30.14  Apocalypse 19.15  
 10 Na sasa, enyi wafalme, fanyeni akili, Enyi waamuzi wa dunia, mwadibiwe.
Esaïe 52.15  Osée 14.9  Psaumes 72.10-72.11  Esaïe 49.23  Psaumes 45.12  
 11 Mtumikieni Bwana kwa kicho, Shangilieni kwa kutetemeka.
Philippiens 2.12  Hébreux 12.28-12.29  Hébreux 12.25  Psaumes 97.1  Hébreux 4.1-4.2  
 12 Shikeni yaliyo bora asije akafanya hasira, Nanyi mkapotea njiani,Kwa kuwa hasira yake itawaka upesi,Heri wote wanaomkimbilia.
Apocalypse 6.16-6.17  Romains 9.33  Jean 5.23  Jérémie 17.7  1 Samuel 10.1