Fermer le panneau de recherche

Appuyez sur Entrée pour rechercher ou ESC pour annuler.

1 Chroniques 3.23
Bible en Swahili de l’est


Descendance de David

1 Basi hawa ndio wana wa Daudi, aliozaliwa huko Hebroni; Amnoni, mzaliwa wa kwanza, mwana wa Ahinoamu, Myezreeli; wa pili, Danieli, wa Abigaili, Mkarmeli;
2 Samuel 3.2-3.5 Josué 15.56 1 Samuel 27.3 2 Samuel 13.1 1 Samuel 25.39-25.43
2 wa tatu, Absalomu, mwana wa Maaka, binti Talmai, mfalme wa Geshuri; wa nne, Adoniya, mwana wa Hagithi;
1 Rois 2.24-2.25 2 Samuel 18.14 2 Samuel 13.20-13.28 1 Chroniques 2.23 2 Samuel 18.18
3 wa tano, Shefatia, wa Abitali; wa sita, Ithreamu, kwa Egla, mkewe.
2 Samuel 3.5
4 Sita alizaliwa huko Hebroni; na huko akamiliki miaka saba na miezi sita; na huko Yerusalemu akamiliki miaka thelathini na mitatu.
2 Samuel 5.4-5.5 2 Samuel 2.11 1 Rois 2.11 1 Chroniques 29.27 2 Samuel 5.14-5.16
5 Na hawa alizaliwa huko Yerusalemu; Shamua, na Shobabu, na Nathani, na Sulemani, wanne, wana wa Bathsheba, binti Eliamu;
2 Samuel 11.3 2 Samuel 12.24-12.25 2 Samuel 5.14-5.16 1 Chroniques 14.4-14.7 Matthieu 1.6
6 na Ibhari, na Elishua, na Elipeleti;
1 Chroniques 14.5 2 Samuel 5.15 1 Samuel 14.5
7 na Noga, na Nefegi, na Yafia;
2 Samuel 5.15-5.16
8 na Elishama, na Eliada, na Elifeleti, watu kenda.
1 Chroniques 14.7 2 Samuel 5.14-5.16
9 Hao wote walikuwa wana wa Daudi, mbali na wana wa masuria; na Tamari alikuwa umbu lao.
2 Samuel 13.1-13.20 2 Samuel 5.13
10 Na mwanawe Sulemani alikuwa Rehoboamu; na mwanawe huyo alikuwa Abiya; na mwanawe huyo ni Asa; na mwanawe huyo ni Yehoshafati;
1 Rois 11.43 1 Rois 15.24 2 Chroniques 17.1 1 Rois 15.8 1 Rois 14.31-15.1
11 na mwanawe huyo ni Yehoramu; na mwanawe huyo ni Ahazia; na mwanawe huyo ni Yoashi;
2 Rois 8.24 2 Chroniques 21.17 2 Rois 11.21 2 Chroniques 21.1 1 Rois 22.50
12 na mwanawe huyo ni Amazia; na mwanawe huyo ni Uzia; na mwanawe huyo ni Yothamu;
2 Rois 14.1 2 Chroniques 25.1 2 Rois 15.30 2 Rois 14.21 2 Chroniques 26.1
13 na mwanawe huyo ni Ahazi; na mwanawe huyo ni Hezekia; na mwanawe huyo ni Manase;
2 Chroniques 33.1 2 Chroniques 29.1 2 Rois 18.1 2 Rois 16.1 2 Rois 20.21-21.1
14 na mwanawe huyo ni Amoni; na mwanawe huyo ni Yosia.
2 Rois 23.30 2 Chroniques 34.1 2 Rois 21.19 2 Chroniques 36.1 2 Rois 23.34
15 Na wana wa Yosia walikuwa hawa; Yohana mzaliwa wa kwanza, wa pili Yehoyakimu, wa tatu Sedekia, wa nne Shalumu.
2 Rois 23.34
16 Na wana wa Yehoyakimu ni hawa; mwanawe Yekonia, na mwanawe Sedekia.
Matthieu 1.11 2 Rois 24.6 Jérémie 22.24 2 Rois 24.8 2 Rois 24.17
17 Na wana wa Yekonia, huyo aliyechukuliwa mateka; mwanawe Shealtieli,
Esdras 3.2 Matthieu 1.12 Esdras 5.2 Esdras 3.8
18 na Malkiramu, na Pedaya, na Shenazari, na Yekamia, na Hoshama, na Nedabia.
19 Na wana wa Pedaya; Zerubabeli, na Shimei; na wana wa Zerubabeli; Meshulamu na Hanania; na Shelomithi alikuwa umbu lao;
Esdras 2.2 Aggée 2.2 Esdras 3.2 Aggée 2.4 Aggée 1.12-1.14
20 na Hashuba, na Oheli, na Berekia, na Hasadia, na Yushab-Hesedi, watu watano.
21 Na wana wa Hanania; Pelatia na Yeshaya; na wana wa Refaya, na wana wa Arnani, na wana wa Obadia, na wana wa Shekania.
Néhémie 10.22
22 Na wana wa Shekania ni hawa; Shemaya, na wana wa Shemaya; Hatushi, na Igali, na Baria, na Nearia, na Shafati, watu sita.
Esdras 8.2
23 Na wana wa Nearia; Elioenai, na Hezekia, na Azrikamu, watu watatu.
24 Na wana wa Elioenai; Hodavia, na Eliashibu, na Pelaya, na Akubu, na Yohana, na Delaya, na Anani, watu saba.

Cette Bible est dans le domaine public.