Fermer le panneau de recherche

Appuyez sur Entrée pour rechercher ou ESC pour annuler.

Psaumes 36
Bible en Swahili de l’est


Le méchant et sa punition

1 Kuasi kwake yule mwovu hunena moyoni mwake, Hakuna hofu ya Mungu mbele ya macho yake.
Romains 3.18 Psaumes 18.1 Psaumes 143.12 Ecclésiaste 12.13 Proverbes 20.11
2 Kwa maana hujipendekeza machoni pake Kuwa upotovu wake hautaonekana na kuchukiwa.
Deutéronome 29.19 Psaumes 49.18 Psaumes 10.3 Jérémie 2.34-2.35 Jérémie 2.23
3 Maneno ya kinywa chake ni uovu na hila, Ameacha kuwa na akili na kutenda mema.
Psaumes 10.7 Psaumes 55.21 Jérémie 4.22 Matthieu 22.15-22.18 1 Samuel 19.6-19.7
4 Huwaza maovu kitandani pake, Hujiweka katika njia mbaya; ubaya hauchukii.
Michée 2.1 Proverbes 4.16 Esaïe 65.2 Romains 12.9 Psaumes 97.10
5 Ee Bwana, fadhili zako zafika hata mbinguni, Uaminifu wako hata mawinguni.
Psaumes 57.10 Psaumes 103.11 Psaumes 108.4 Psaumes 52.1 Esaïe 55.7-55.9
6 Haki yako ni kama milima ya Mungu, Hukumu zako ni vilindi vikuu, Ee Bwana, unawaokoa wanadamu na wanyama.
Romains 11.33 Psaumes 77.19 Psaumes 71.19 Psaumes 145.9 Psaumes 92.5
7 Ee Mungu, jinsi zilivyo na thamani fadhili zako! Wanadamu huukimbilia uvuli wa mbawa zako.
Ruth 2.12 Psaumes 91.4 Psaumes 17.8 Psaumes 139.17 Psaumes 31.19
8 Watashibishwa kwa unono wa nyumba yako, Nawe utawanywesha mto wa furaha zako.
Psaumes 65.4 Psaumes 16.11 Esaïe 25.6 Jérémie 31.12-31.14 Psaumes 63.5
9 Maana kwako Wewe iko chemchemi ya uzima, Katika nuru yako tutaona nuru.
Jérémie 2.13 1 Pierre 2.9 Jean 4.14 Jean 4.10 Esaïe 60.1-60.2
10 Uwadumishie wakujuao fadhili zako, Na wanyofu wa moyo uaminifu wako.
Jérémie 22.16 Psaumes 97.10-97.11 Psaumes 143.1-143.2 Psaumes 7.8-7.10 Jérémie 31.3
11 Mguu wa kiburi usinikaribie, Wala mkono wa wasio haki usinifukuze.
Psaumes 16.8 Psaumes 119.69 Psaumes 10.2 Psaumes 119.51 Psaumes 62.6
12 Huko ndiko walikoanguka wafanyao maovu; Wameangushwa chini wasiweze kusimama.
Psaumes 1.5 Apocalypse 19.1-19.6 2 Thessaloniciens 1.8-1.9 Psaumes 140.10 Psaumes 18.38

Cette Bible est dans le domaine public.