Fermer le panneau de recherche

Appuyez sur Entrée pour rechercher ou ESC pour annuler.

Psaumes 107.23
Bible en Swahili de l’est


Cinquième livre

La grâce divine

1 Mshukuruni Bwana kwa kuwa ni mwema, Kwa maana fadhili zake ni za milele.
Psaumes 106.1 Psaumes 118.1 2 Chroniques 7.3 1 Chroniques 16.34 2 Chroniques 5.13
2 Na waseme hivi waliokombolewa na Bwana, Wale aliowakomboa na mkono wa mtesi.
Psaumes 106.10 Galates 3.13 1 Pierre 1.18-1.19 Deutéronome 7.8 Esaïe 35.9
3 Akawakusanya kutoka nchi zote, Mashariki na magharibi, kaskazini na kusini.
Psaumes 106.47 Jérémie 31.8 Esaïe 43.5-43.6 Jérémie 31.10 Jérémie 29.14
4 Walitanga-tanga jangwani katika njia ya nyika; Hawakuona mji wa kukaa.
Nombres 14.33 Deutéronome 32.10 Psaumes 107.40 Hébreux 11.38 Apocalypse 12.6
5 Waliona njaa, waliona na kiu, Nafsi yao ilikuwa ikizimia ndani yao.
Lamentations 2.19 Esaïe 44.12 Juges 15.18-15.19 Jérémie 14.18 1 Samuel 30.11-30.12
6 Wakamlilia Bwana katika dhiki zao, Akawaponya na shida zao.
Psaumes 50.15 Psaumes 107.28 Psaumes 107.13 Psaumes 107.19 2 Corinthiens 1.8-1.10
7 Akawaongoza kwa njia ya kunyoka, Wapate kwenda mpaka mji wa kukaa.
Psaumes 107.4 Jérémie 31.9 Psaumes 107.36 Esdras 8.21-8.23 2 Pierre 2.15
8 Na wamshukuru Bwana, kwa fadhili zake, Na maajabu yake kwa wanadamu.
Psaumes 107.15 Psaumes 107.21 Psaumes 107.31 Esaïe 48.18 Psaumes 40.5
9 Maana hushibisha nafsi yenye shauku, Na nafsi yenye njaa huijaza mema.
Luc 1.53 Psaumes 34.10 Jérémie 31.25 Matthieu 5.6 Esaïe 55.1-55.3
10 Waliokaa katika giza na uvuli wa mauti, Wamefungwa katika taabu na chuma,
Luc 1.79 Matthieu 4.16 Lamentations 3.6-3.7 Job 36.8-36.9 2 Chroniques 33.11
11 Kwa sababu waliyaasi maneno ya Mungu, Wakalidharau shauri lake Aliye juu.
Psaumes 73.24 Proverbes 1.25 Luc 7.30 Psaumes 106.43 Psaumes 106.7
12 Hata akawadhili moyo kwa taabu, Wakajikwaa wala hakuna msaidizi.
Psaumes 22.11 Job 9.13 Esaïe 63.5 2 Rois 6.33 Psaumes 18.40-18.41
13 Wakamlilia Bwana katika dhiki zao, Akawaponya na shida zao.
Psaumes 107.6 Psaumes 107.28 Psaumes 18.6 Exode 3.7-3.8 Jérémie 31.18-31.20
14 Aliwatoa katika giza na uvuli wa mauti, Akayavunja mafungo yao.
Psaumes 116.16 Esaïe 42.16 Esaïe 61.1 Psaumes 107.10 Actes 16.26-16.40
15 Na wamshukuru Bwana kwa fadhili zake, Na maajabu yake kwa wanadamu.
Psaumes 107.8 Psaumes 107.21 Psaumes 107.31 Psaumes 116.17-116.19
16 Maana ameivunja milango ya shaba, Ameyakata mapingo ya chuma.
Esaïe 45.1-45.2 Juges 16.3 Michée 2.13
17 Wapumbavu, kwa sababu ya ukosaji wao, Na kwa sababu ya maovu yao, hujitesa.
Lamentations 3.39 Esaïe 57.17-57.18 Jérémie 2.19 Nombres 11.33-11.34 Psaumes 92.6
18 Nafsi zao zachukia kila namna ya chakula, Wameyakaribia malango ya mauti.
Psaumes 88.3 Psaumes 9.13 Esaïe 38.10 Job 33.19-33.22 Job 38.17
19 Wakamlilia Bwana katika dhiki zao, Akawaponya na shida zao.
Psaumes 107.13 Psaumes 34.4-34.6 Psaumes 78.34-78.35 Psaumes 116.4-116.8 Psaumes 107.28
20 Hulituma neno lake, huwaponya, Huwatoa katika maangamizo yao.
2 Rois 20.4-20.5 Psaumes 147.15 Matthieu 8.8 Job 33.28-33.30 Psaumes 147.3
21 Na wamshukuru Bwana kwa fadhili zake, Na maajabu yake kwa wanadamu.
Psaumes 107.8 Psaumes 107.15 Psaumes 107.31 2 Chroniques 32.25 Psaumes 66.5
22 Na wamtolee dhabihu za kushukuru, Na kuyasimulia matendo yake kwa kuimba.
Psaumes 118.17 Psaumes 50.14 Psaumes 9.11 Psaumes 116.17 Lévitique 7.12
23 Washukao baharini katika merikebu, Wafanyao kazi yao katika maji mengi,
Esaïe 42.10 Apocalypse 18.17 Actes 27.9-27.28 Psaumes 48.7 Ezéchiel 27.26
24 Hao huziona kazi za Bwana, Na maajabu yake vilindini.
Psaumes 104.24-104.27 Job 38.8-38.11 Psaumes 95.5
25 Maana husema, akavumisha upepo wa dhoruba, Ukayainua juu mawimbi yake.
Jonas 1.4 Psaumes 148.8 Psaumes 93.3 Psaumes 105.31 Jean 6.18
26 Wapanda mbinguni, watelemka vilindini, Nafsi yao yayeyuka kwa hali mbaya.
Psaumes 22.14 Psaumes 119.28 Esaïe 13.7 Nahum 2.10 2 Samuel 17.10
27 Wayumba-yumba, wapepesuka kama mlevi, Akili zao zote zawapotea.
Job 12.25 Esaïe 29.9 Esaïe 19.14 Esaïe 19.3 Actes 27.15-27.20
28 Wakamlilia Bwana katika dhiki zao, Akawaponya na shida zao.
Matthieu 8.25 Actes 27.23-27.25 Psaumes 107.19 Jonas 1.5-1.6 Jonas 1.14
29 Huituliza dhoruba, ikawa shwari, Mawimbi yake yakanyamaza.
Matthieu 8.26 Psaumes 89.9 Psaumes 65.7 Luc 8.23-8.25 Jonas 1.15
30 Ndipo walipofurahi kwa kuwa yametulia Naye huwaleta mpaka bandari waliyoitamani.
Jean 6.21
31 Na wamshukuru Bwana kwa fadhili zake, Na maajabu yake kwa wanadamu.
Psaumes 107.21 Psaumes 107.15 Psaumes 107.8 Apocalypse 15.3 Romains 1.20-1.21
32 Na wamtukuze katika kusanyiko la watu, Na wamhimidi katika baraza ya wazee.
Psaumes 22.25 Psaumes 22.22 Psaumes 99.5 Esaïe 25.1 Psaumes 40.9-40.10
33 Amegeuza mito ikawa jangwa, Na chemchemi za maji zikawa nchi ya kiu.
Esaïe 50.2 Esaïe 42.15 Amos 4.7-4.8 Esaïe 34.9-34.10 1 Rois 17.1-17.7
34 Nchi ya matunda mengi ikawa uwanda wa chumvi, Kwa sababu ya ubaya wao walioikaa.
Genèse 13.10 Genèse 14.3 Genèse 13.13 Genèse 19.24-19.25 Ezéchiel 47.11
35 Amegeuza jangwa ikawa ziwa la maji, Na nchi kavu ikawa chemchemi za maji.
Psaumes 114.8 Esaïe 41.17-41.19 Esaïe 35.6-35.7 Esaïe 44.3-44.5 Ezéchiel 47.6-47.12
36 Maana amewakalisha huko wenye njaa, Nao wametengeneza mji wa kukaa.
Psaumes 107.7 Actes 17.26 Psaumes 146.7 Luc 1.53
37 Wakapanda mbegu katika mashamba, Na kutia mizabibu iliyotoa matunda yake.
1 Corinthiens 3.7 Zacharie 8.12 Genèse 26.12 Aggée 1.10-1.11 Jérémie 29.5
38 Naye huwabariki wakaongezeka sana, Wala hayapunguzi makundi yao.
Genèse 12.2 Genèse 17.20 Exode 1.7 Psaumes 128.1-128.6 Psaumes 144.13-144.14
39 Kisha wakapungua na kudhilika, Kwa kuonewa na mabaya na huzuni.
2 Rois 10.32 1 Samuel 2.5-2.7 2 Rois 8.3 2 Chroniques 15.5-15.6 Exode 1.13-1.14
40 Akawamwagia wakuu dharau, Na kuwazungusha katika nyika isiyo na njia.
Job 12.24 Job 12.21 Jérémie 13.15-13.18 Juges 4.21 Apocalypse 19.18
41 Akamweka mhitaji juu mbali na mateso, Akamfanyia jamaa kama kundi la kondoo.
1 Samuel 2.8 Job 21.11 Esther 8.15-8.17 Psaumes 78.52 Job 5.11
42 Wanyofu wa moyo wataona na kufurahi, Na uovu wa kila namna utajifumba kinywa.
Job 22.19 Psaumes 63.11 Romains 3.19 Psaumes 52.6 Proverbes 10.11
43 Aliye na hekima na ayaangalie hayo; Na wazitafakari fadhili za Bwana.
Osée 14.9 Jérémie 9.12 Psaumes 64.9 Psaumes 28.5 Daniel 10.12

Cette Bible est dans le domaine public.