Accueil  /  Bible  /  Bible en Swahili de l’est  /  Psaumes 129.8

La Bible Bible en Swahili de l’est

Psaumes 129

Un clic sur un verset envoie vers le comparateur de versions.

Chapitre 128 Chapitre 130

Jugement des oppresseurs

1 Mara nyingi wamenitesa tangu ujana wangu, Israeli na aseme sasa,
2 Mara nyingi wamenitesa tangu ujana wangu, Lakini hawakuniweza.
3 Wakulima wamelima mgongoni mwangu, Wamefanya mirefu mifuo yao.
4 Bwana ndiye mwenye haki, Amezikata kamba zao wasio haki.
5 Na waaibishwe, warudishwe nyuma, Wote wanaoichukia Sayuni.
6 Na wawe kama majani ya darini Yanyaukayo kabla hayajamea.
7 Ambayo mvunaji haujazi mkono wake, Wala mfunga miganda kifua chake.
8 Wala hawasemi wapitao, Amani ya Bwana ikae nanyi, Twawabariki kwa jina la Bwana.

Vous êtes actuellement sur une version optimisée pour mobile, si vous souhaitez basculer sur la version complète suivez le lien suivant : Psaumes 129.8 (Lemaîtstre de Sacy)

Cette Bible est dans le domaine public.