Fermer le panneau de recherche

Appuyez sur Entrée pour rechercher ou ESC pour annuler.

Psaumes 63.3
Bible en Swahili de l’est


La soif de Dieu

1 Ee MUNGU, Mungu wangu, nitakutafuta mapema, Nafsi yangu inakuonea kiu, Mwili wangu wakuonea shauku, Katika nchi kame na uchovu, isiyo na maji.
Psaumes 143.6 Psaumes 84.2 Psaumes 42.1-42.2 Exode 15.2 Psaumes 31.14
2 Ndivyo nilivyokutazama katika patakatifu, Nizione nguvu zako na utukufu wako.
Psaumes 27.4 Psaumes 105.4 Psaumes 78.61 1 Chroniques 16.11 Psaumes 73.17-73.18
3 Maana fadhili zako ni njema kuliko uhai; Midomo yangu itakusifu.
Psaumes 69.16 Philippiens 1.23 Romains 12.1 Psaumes 30.5 Psaumes 51.15
4 Ndivyo nitakavyokubariki maadamu ni hai; Kwa jina lako nitaiinua mikono yangu.
Psaumes 104.33 Psaumes 134.2 Psaumes 28.2 1 Rois 8.22-8.66 Habakuk 3.10
5 Nafsi yangu itakinai kama kushiba mafuta na vinono; Kinywa changu kitakusifu kwa midomo ya furaha.
Psaumes 65.4 Psaumes 104.34 Psaumes 36.7-36.9 Psaumes 71.23 Cantique 1.4
6 Ninapokukumbuka kitandani mwangu, Nakutafakari Wewe makesha yote ya usiku.
Psaumes 42.8 Psaumes 119.55 Cantique 3.1-3.2 Cantique 5.2 Psaumes 119.147-119.148
7 Maana Wewe umekuwa msaada wangu, Na uvulini mwa mbawa zako nitashangilia.
Psaumes 61.4 Psaumes 57.1 Psaumes 27.9 Psaumes 54.3-54.4 Psaumes 17.8
8 Nafsi yangu inakuandama sana; Mkono wako wa kuume unanitegemeza.
Psaumes 18.35 Esaïe 41.10 Esaïe 42.1 Cantique 2.6 Cantique 3.2
9 Bali waitafutao nafsi yangu, ili kuiharibu, Wataingia pande za nchi zilizo chini.
Psaumes 55.15 Psaumes 40.14 Psaumes 9.17 Esaïe 14.19 Job 40.13
10 Watatolewa wafe kwa nguvu za upanga, Watakuwa riziki za mbwa-mwitu.
Jérémie 18.21 Ezéchiel 35.5 1 Samuel 26.10 Apocalypse 19.17-19.18 Ezéchiel 39.4
11 Bali mfalme atamfurahia Mungu, Kila aapaye kwa Yeye atashangilia, Kwa maana vinywa vya waongo vitafumbwa.
Deutéronome 6.13 Esaïe 45.23 Romains 3.19 Esaïe 65.16 Psaumes 21.1

Cette Bible est dans le domaine public.