Fermer le panneau de recherche

Appuyez sur Entrée pour rechercher ou ESC pour annuler.

Psaumes 54.2
Bible en Swahili de l’est


Prière confiante pour la délivrance

1 Ee Mungu, kwa jina lako uniokoe, Na kwa uweza wako unifanyie hukumu.
Psaumes 20.1 1 Samuel 26.1 2 Chroniques 20.6 Psaumes 26.1 Psaumes 48.10
2 Ee Mungu, uyasikie maombi yangu, Uyasikilize maneno ya kinywa changu.
Psaumes 5.1-5.3 Psaumes 13.3 Psaumes 143.7 Psaumes 130.2 Psaumes 55.1-55.2
3 Kwa maana wageni wamenishambulia; Watu watishao wananitafuta nafsi yangu; Hawakumweka Mungu mbele yao.
Psaumes 86.14 Psaumes 36.1 Jean 16.3 Psaumes 59.3-59.5 Job 19.13-19.15
4 Tazama, Mungu ndiye anayenisaidia; Bwana ndiye anayenitegemeza nafsi yangu.
Esaïe 41.10 Psaumes 118.6-118.7 1 Chroniques 12.18 Psaumes 118.13 Psaumes 41.12
5 Atawarudishia adui zangu ubaya wao; Uwaangamize kwa uaminifu wako.
Psaumes 89.49 Psaumes 143.12 2 Timothée 4.14 Psaumes 143.1 Psaumes 94.23
6 Kwa ukunjufu wa moyo nitakutolea dhabihu; Ee Bwana, nitalishukuru jina lako, maana ni jema.
Psaumes 52.9 Psaumes 116.17 Psaumes 140.13 Psaumes 21.13 Psaumes 92.1
7 Kwa kuwa limeniokoa na kila taabu; Na jicho langu limeridhika Kwa kuwatazama adui zangu.
Psaumes 59.10 Psaumes 112.8 Psaumes 92.11 Psaumes 37.34 Psaumes 91.8

Cette Bible est dans le domaine public.