Fermer le panneau de recherche

Appuyez sur Entrée pour rechercher ou ESC pour annuler.

Psaumes 149.2
Bible en Swahili de l’est


Louange à Dieu pour ses jugements

1 Haleluya. Mwimbieni Bwana wimbo mpya, Sifa zake katika kusanyiko la watauwa.
Psaumes 89.5 Psaumes 33.3 Psaumes 111.1 Psaumes 22.22 Psaumes 68.26
2 Israeli na amfurahie Yeye aliyemfanya, Wana wa Sayuni na wamshangilie mfalme wao.
Zacharie 9.9 Job 35.10 Psaumes 95.6 Deutéronome 12.7 Luc 19.27
3 Na walisifu jina lake kwa kucheza, Kwa matari na kinubi wamwimbie.
Exode 15.20 Psaumes 81.2 Jérémie 31.13 Psaumes 30.11 1 Chroniques 25.6
4 Kwa kuwa Bwana awaridhia watu wake, Huwapamba wenye upole kwa wokovu.
Psaumes 35.27 Psaumes 147.11 Psaumes 132.16 Psaumes 117.2 Apocalypse 7.14
5 Watauwa na waushangilie utukufu, Waimbe kwa sauti kuu vitandani mwao.
Job 35.10 Psaumes 118.15 Psaumes 42.8 Psaumes 63.5-63.6 Psaumes 23.1
6 Sifa kuu za Mungu na ziwe vinywani mwao, Na upanga mkali kuwili mikononi mwao.
Hébreux 4.12 Apocalypse 1.16 Psaumes 66.17 Néhémie 9.5 Luc 2.14
7 Ili kufanya kisasi juu ya mataifa, Na adhabu juu ya kabila za watu.
Nombres 31.2-31.3 1 Samuel 15.18-15.23 Zacharie 9.13-9.16 1 Samuel 15.2-15.3 Apocalypse 19.11-19.21
8 Wawafunge wafalme wao kwa minyororo, Na wakuu wao kwa pingu za chuma.
Juges 1.6-1.7 Josué 10.23-10.24 Josué 12.7 Job 36.8
9 Kuwafanyia hukumu iliyoandikwa; Hiyo ndiyo heshima ya watauwa wake wote. Haleluya.
Psaumes 148.14 1 Corinthiens 6.2-6.3 Psaumes 137.8 Deutéronome 7.1-7.2 Apocalypse 17.14-17.16

Cette Bible est dans le domaine public.