Fermer le panneau de recherche

Appuyez sur Entrée pour rechercher ou ESC pour annuler.

Psaumes 149
Bible en Swahili de l’est


Louange à Dieu pour ses jugements

1 Haleluya. Mwimbieni Bwana wimbo mpya, Sifa zake katika kusanyiko la watauwa.
Psaumes 89.5 Psaumes 33.3 Psaumes 148.1 Psaumes 116.18 Psaumes 111.1
2 Israeli na amfurahie Yeye aliyemfanya, Wana wa Sayuni na wamshangilie mfalme wao.
Zacharie 9.9 Job 35.10 Psaumes 95.6 Matthieu 25.34 Philippiens 3.3
3 Na walisifu jina lake kwa kucheza, Kwa matari na kinubi wamwimbie.
Exode 15.20 Psaumes 81.2 Jérémie 31.13 Psaumes 137.2-137.4 Psaumes 30.11
4 Kwa kuwa Bwana awaridhia watu wake, Huwapamba wenye upole kwa wokovu.
Psaumes 132.16 Psaumes 35.27 Psaumes 147.11 Psaumes 90.17 Psaumes 117.2
5 Watauwa na waushangilie utukufu, Waimbe kwa sauti kuu vitandani mwao.
Job 35.10 Psaumes 118.15 Psaumes 42.8 Psaumes 63.5-63.6 Psaumes 92.2
6 Sifa kuu za Mungu na ziwe vinywani mwao, Na upanga mkali kuwili mikononi mwao.
Hébreux 4.12 Apocalypse 1.16 Psaumes 66.17 Apocalypse 19.6 Néhémie 9.5
7 Ili kufanya kisasi juu ya mataifa, Na adhabu juu ya kabila za watu.
Psaumes 137.8-137.9 Zacharie 14.17-14.19 Nombres 31.2-31.3 1 Samuel 15.18-15.23 Zacharie 9.13-9.16
8 Wawafunge wafalme wao kwa minyororo, Na wakuu wao kwa pingu za chuma.
Juges 1.6-1.7 Josué 10.23-10.24 Josué 12.7 Job 36.8
9 Kuwafanyia hukumu iliyoandikwa; Hiyo ndiyo heshima ya watauwa wake wote. Haleluya.
Psaumes 148.14 1 Corinthiens 6.2-6.3 Esaïe 14.22-14.23 Psaumes 137.8 Deutéronome 7.1-7.2

Cette Bible est dans le domaine public.