Fermer le panneau de recherche

Appuyez sur Entrée pour rechercher ou ESC pour annuler.

Psaumes 113
Bible en Swahili de l’est


Bonté de Dieu pour les faibles

1 Haleluya. Enyi watumishi wa Bwana, sifuni, Lisifuni jina la Bwana.
Psaumes 34.22 Apocalypse 19.5 Psaumes 134.1 Psaumes 145.10 Ephésiens 5.19-5.20
2 Jina la Bwana lihimidiwe Tangu leo na hata milele.
Daniel 2.20 Psaumes 41.13 Psaumes 106.48 1 Chroniques 16.36 Ephésiens 3.21
3 Toka maawio ya jua hata machweo yake Jina la Bwana husifiwa.
Malachie 1.11 Esaïe 59.19 Psaumes 48.10 Psaumes 86.9 Esaïe 49.13
4 Bwana ni mkuu juu ya mataifa yote, Na utukufu wake ni juu ya mbingu.
Psaumes 99.2 Psaumes 8.1 Psaumes 97.9 1 Rois 8.27 Psaumes 57.10-57.11
5 Ni nani aliye mfano wa Bwana, Mungu wetu aketiye juu;
Psaumes 89.6 Exode 15.11 Esaïe 40.25 Jérémie 10.6 Deutéronome 33.26
6 Anyenyekeaye kutazama, Mbinguni na duniani?
Psaumes 11.4 Psaumes 138.6 Esaïe 57.15 Job 4.18 Esaïe 66.2
7 Humwinua mnyonge kutoka mavumbini, Na kumpandisha maskini kutoka jaani.
Psaumes 107.41 1 Samuel 2.7-2.8 2 Samuel 7.8-7.9 Job 2.8 Jacques 2.5
8 Amketishe pamoja na wakuu, Pamoja na wakuu wa watu wake.
Job 36.7 Apocalypse 5.9-5.10 Genèse 41.41 Psaumes 68.13 Philippiens 2.8-2.11
9 Huweka nyumbani mwanamke aliye tasa, Awe mama ya watoto mwenye furaha.
Psaumes 68.6 Esaïe 54.1 1 Samuel 2.5 Genèse 21.5-21.7 Galates 4.27

Cette Bible est dans le domaine public.