Fermer le panneau de recherche

Appuyez sur Entrée pour rechercher ou ESC pour annuler.

Psaumes 111
Bible en Swahili de l’est


Perfection de l’action de Dieu

1 Haleluya Nitamshukuru Bwana kwa moyo wangu wote,Barazani pa wanyofu wa moyo na katika mkutano.
Psaumes 138.1 Psaumes 149.1 1 Chroniques 29.10-29.20 Psaumes 35.18 Psaumes 89.7
2 Matendo ya Bwana ni makuu, Yafikiriwa sana na wapendezwao nayo.
Psaumes 143.5 Psaumes 104.24 Psaumes 139.14 Proverbes 24.14 Romains 1.28
3 Kazi yake ni heshima na adhama, Na haki yake yakaa milele.
Psaumes 119.142 Esaïe 51.5-51.6 Psaumes 145.4-145.5 Psaumes 145.17 Apocalypse 5.12-5.14
4 Amefanya ukumbusho wa matendo yake ya ajabu; Bwana ni mwenye fadhili na rehema.
Psaumes 103.8 Psaumes 86.15 Psaumes 145.8 Psaumes 86.5 Exode 34.6-34.7
5 Amewapa wamchao chakula; Atalikumbuka agano lake milele.
Psaumes 105.8 Psaumes 89.34 Psaumes 106.45 Matthieu 6.26-6.33 Luc 12.30
6 Amewajulisha watu wake uwezo wa matendo yake, Kwa kuwapa urithi wa mataifa.
Psaumes 80.8 Deutéronome 4.32-4.38 Psaumes 44.2 Psaumes 2.8 Josué 10.13-10.14
7 Matendo ya mikono yake ni kweli na hukumu, Maagizo yake yote ni amini,
Psaumes 19.7 Psaumes 93.5 2 Timothée 2.13 Apocalypse 15.3-15.4 Psaumes 119.151
8 Yamethibitika milele na milele, Yamefanywa katika kweli na adili.
Matthieu 5.18 Psaumes 19.9 Apocalypse 15.3 Esaïe 40.8 Romains 7.12
9 Amewapelekea watu wake ukombozi, Ameamuru agano lake liwe la milele, Jina lake ni takatifu la kuogopwa.
Luc 1.49 Luc 1.68 Psaumes 99.3 Matthieu 1.21 Tite 2.14
10 Kumcha Bwana ndio mwanzo wa hekima, Wote wafanyao hayo wana akili njema, Sifa zake zakaa milele.
Proverbes 9.10 Proverbes 1.7 Job 28.28 Ecclésiaste 12.13 Proverbes 3.4

Cette Bible est dans le domaine public.