Fermer le panneau de recherche

Appuyez sur Entrée pour rechercher ou ESC pour annuler.

Psaumes 111.8
Bible en Swahili de l’est


Perfection de l’action de Dieu

1 Haleluya Nitamshukuru Bwana kwa moyo wangu wote,Barazani pa wanyofu wa moyo na katika mkutano.
Psaumes 138.1 Psaumes 149.1 1 Chroniques 29.10-29.20 Psaumes 89.7 Psaumes 35.18
2 Matendo ya Bwana ni makuu, Yafikiriwa sana na wapendezwao nayo.
Psaumes 143.5 Psaumes 104.24 Proverbes 24.14 Psaumes 139.14 Daniel 4.3
3 Kazi yake ni heshima na adhama, Na haki yake yakaa milele.
Psaumes 119.142 Ephésiens 1.6-1.8 Esaïe 51.8 Psaumes 119.144 Psaumes 112.3
4 Amefanya ukumbusho wa matendo yake ya ajabu; Bwana ni mwenye fadhili na rehema.
Psaumes 103.8 Psaumes 86.5 Psaumes 86.15 Psaumes 145.8 Psaumes 112.4
5 Amewapa wamchao chakula; Atalikumbuka agano lake milele.
Psaumes 105.8 Daniel 9.4 Luc 1.72 Esaïe 33.16 Psaumes 37.3
6 Amewajulisha watu wake uwezo wa matendo yake, Kwa kuwapa urithi wa mataifa.
Psaumes 80.8 Josué 10.13-10.14 Psaumes 78.12-78.72 Josué 3.14-3.17 Josué 6.20
7 Matendo ya mikono yake ni kweli na hukumu, Maagizo yake yote ni amini,
Psaumes 19.7 Psaumes 119.86 Deutéronome 32.4 Psaumes 98.3 Psaumes 119.160
8 Yamethibitika milele na milele, Yamefanywa katika kweli na adili.
Matthieu 5.18 Psaumes 19.9 Esaïe 40.8 Apocalypse 15.3 Romains 7.12
9 Amewapelekea watu wake ukombozi, Ameamuru agano lake liwe la milele, Jina lake ni takatifu la kuogopwa.
Psaumes 99.3 Luc 1.49 Luc 1.68 Matthieu 1.21 Tite 2.14
10 Kumcha Bwana ndio mwanzo wa hekima, Wote wafanyao hayo wana akili njema, Sifa zake zakaa milele.
Proverbes 9.10 Proverbes 1.7 Job 28.28 Ecclésiaste 12.13 Proverbes 3.4

Cette Bible est dans le domaine public.