Fermer le panneau de recherche

Appuyez sur Entrée pour rechercher ou ESC pour annuler.

Psaumes 53
Bible en Swahili de l’est


Portrait de l’impie

1 Mpumbavu amesema moyoni, Hakuna Mungu; Wametenda uovu wa ufisadi na kuchukiza, Hakuna atendaye mema.
Psaumes 14.1-14.7 Psaumes 10.4 Romains 3.10-3.31 Psaumes 92.6 Romains 1.28
2 Toka mbinguni MUNGU aliwachungulia wanadamu, Aone kama yuko mtu mwenye akili, Amtafutaye Mungu.
2 Chroniques 15.2 Esaïe 55.6 Psaumes 27.8 2 Chroniques 19.3 Psaumes 111.10
3 Kila mtu amepotoka, wameoza wote pamoja, Hakuna atendaye mema, La! Hata mmoja.
Romains 3.12 Esaïe 64.6 Psaumes 14.3 Esaïe 53.6 Jérémie 8.5-8.6
4 Je! Wafanyao maovu hawajui? Walao watu wangu kama walavyo mkate, Hawakumwita MUNGU.
Jérémie 4.22 Esaïe 27.11 Matthieu 23.17-23.39 Apocalypse 17.16 Jérémie 10.25
5 Hapo waliingiwa na hofu pasipokuwapo hofu, Maana Mungu ameitawanya mifupa yake aliyekuhusuru. Umewatia aibu, Kwa sababu MUNGU amewadharau.
Lévitique 26.17 Lévitique 26.36 Proverbes 28.1 Ezéchiel 6.5 Psaumes 141.7
6 Laiti wokovu wa Israeli utoke katika Sayuni! MUNGU awarudishapo wafungwa wa watu wake; Yakobo atashangilia, Israeli atafurahi.
Psaumes 14.7 Jérémie 31.23 Psaumes 85.1 Job 42.10 Esaïe 12.1-12.3

Cette Bible est dans le domaine public.