Fermer le panneau de recherche

Appuyez sur Entrée pour rechercher ou ESC pour annuler.

Psaumes 52.4
Bible en Swahili de l’est


Punition du trompeur

1 Kwa nini kujisifia uovu, Ewe jabari? Wema wa Mungu upo sikuzote.
Psaumes 94.4 1 Samuel 21.7 Psaumes 103.17 Psaumes 107.1 Psaumes 137.1-137.2
2 Ulimi wako watunga madhara, Kama wembe mkali, Ewe mwenye hila
Psaumes 57.4 Proverbes 18.21 Proverbes 12.18 Psaumes 59.7 Matthieu 26.59
3 Umependa mabaya kuliko mema, Na uongo kuliko kusema kweli.
Jérémie 4.22 Jean 8.44 Apocalypse 22.15 Psaumes 62.4 2 Timothée 3.4
4 Umependa maneno yote ya kupoteza watu, Ewe ulimi wenye hila.
Psaumes 120.3 Jacques 3.6-3.9 1 Samuel 22.18-22.19
5 Lakini Mungu atakuharibu hata milele; Atakuondolea mbali; Atakunyakua hemani mwako; Atakung’oa katika nchi ya walio hai.
Proverbes 2.22 Psaumes 27.13 Psaumes 140.9-140.11 Proverbes 12.19 Luc 16.27-16.28
6 Nao wenye haki wataona; Wataingiwa na hofu na kumcheka;
Psaumes 40.3 Job 22.19 Psaumes 37.34 Apocalypse 19.1-19.2 Psaumes 119.120
7 Kumbe! Huyu ndiye mtu yule, Asiyemfanya Mungu kuwa nguvu zake. Aliutumainia wingi wa mali zake, Na kujifanya hodari kwa madhara yake.
1 Timothée 6.17 Psaumes 73.18-73.20 Psaumes 146.3-146.5 Job 31.24-31.25 Esaïe 14.16-14.17
8 Bali mimi ni kama mzeituni Umeao katika nyumba ya Mungu. Nazitumainia fadhili za Mungu milele na milele.
Jérémie 11.16 Psaumes 92.12-92.14 Psaumes 13.5 Psaumes 1.3 Romains 11.24
9 Nitakushukuru milele kwa maana umetenda; Nitalingojea jina lako kwa kuwa ni jema; Mbele ya wacha Mungu wako.
Psaumes 54.6 Psaumes 48.9-48.10 Psaumes 123.2-123.3 Proverbes 18.10 Psaumes 146.2

Cette Bible est dans le domaine public.