Fermer le panneau de recherche

Appuyez sur Entrée pour rechercher ou ESC pour annuler.

Psaumes 23.5
Bible en Swahili de l’est


Le divin berger

1 Bwana ndiye mchungaji wangu, Sitapungukiwa na kitu.
Philippiens 4.19 Jean 10.11 Esaïe 40.11 Jean 10.27-10.30 Jean 10.14
2 Katika malisho ya majani mabichi hunilaza, Kando ya maji ya utulivu huniongoza.
Apocalypse 22.1 Psaumes 46.4 Esaïe 49.9-49.10 Apocalypse 7.17 Apocalypse 22.17
3 Hunihuisha nafsi yangu; na kuniongoza Katika njia za haki kwa ajili ya jina lake.
Psaumes 51.10 Proverbes 8.20 Psaumes 19.7 Psaumes 5.8 Psaumes 31.3
4 Naam, nijapopita kati ya bonde la uvuli wa mauti, Sitaogopa mabaya; Kwa maana Wewe upo pamoja nami, Gongo lako na fimbo yako vyanifariji.
Esaïe 41.10 Psaumes 138.7 Psaumes 118.6 Psaumes 3.6 Michée 7.14
5 Waandaa meza mbele yangu, Machoni pa watesi wangu. Umenipaka mafuta kichwani pangu, Na kikombe changu kinafurika.
Psaumes 16.5 Psaumes 92.10 Psaumes 45.7 Ephésiens 3.20 Psaumes 31.19-31.20
6 Hakika wema na fadhili zitanifuata Siku zote za maisha yangu; Nami nitakaa nyumbani mwa Bwana milele.
2 Corinthiens 5.1 2 Timothée 4.18 Psaumes 27.4 Psaumes 73.24-73.26 Psaumes 16.11

Cette Bible est dans le domaine public.