Fermer le panneau de recherche

Appuyez sur Entrée pour rechercher ou ESC pour annuler.

Psaumes 76.7
Bible en Swahili de l’est


Victoire de la puissance de Dieu

1 Katika Yuda Mungu amejulikana, Katika Israeli jina lake ni kuu.
Psaumes 4.1 Deutéronome 4.34-4.36 Psaumes 148.13-148.14 Actes 17.23 Psaumes 98.2-98.3
2 Kibanda chake pia kiko Salemu, Na maskani yake iko Sayuni.
Genèse 14.18 2 Chroniques 6.6 Psaumes 132.13-132.14 Lamentations 2.6 Psaumes 27.5
3 Huko ndiko alikoivunja mishale ya uta, Ngao, na upanga, na zana za vita.
Psaumes 46.9 Ezéchiel 39.9-39.10 Ezéchiel 39.3-39.4 2 Chroniques 14.12-14.13 Esaïe 37.35-37.36
4 Wewe U mwenye fahari na adhama, Toka milima ya mateka.
Ezéchiel 19.1-19.4 Daniel 7.17-7.28 Daniel 7.4-7.8 Jérémie 4.7 Ezéchiel 38.12-38.13
5 Wametekwa wenye moyo thabiti; Wamelala usingizi; Wala hawakuiona mikono yao Watu wote walio hodari.
Esaïe 46.12 Nahum 3.18 Psaumes 13.3 Jérémie 51.39 Esaïe 31.8
6 Kwa kukemea kwako, Ee Mungu wa Yakobo, Gari na farasi wameshikwa na usingizi mzito.
Exode 15.1 Exode 15.21 Psaumes 80.16 Esaïe 37.36 Exode 15.4-15.6
7 Wewe ndiwe utishaye, naam, Wewe; Naye ni nani awezaye kusimama ufanyapo hasira?
Nahum 1.6 Psaumes 89.7 Apocalypse 14.7 Jérémie 10.7-10.10 1 Chroniques 16.25
8 Toka mbinguni ulitangaza hukumu; Nchi iliogopa, ikakaa kimya.
2 Chroniques 20.29-20.30 Habakuk 2.20 Ezéchiel 38.20-38.23 1 Chroniques 16.30 Juges 5.20
9 Mungu aliposimama ili kuhukumu Na kuwaokoa wapole wa dunia wote pia.
Sophonie 2.3 Psaumes 25.9 1 Pierre 3.4 Psaumes 149.4 Psaumes 82.2-82.5
10 Maana hasira ya binadamu itakusifu, Masalio ya hasira utajifunga kama mshipi.
Exode 15.9-15.11 Genèse 37.18-37.20 Exode 9.16-9.17 Actes 4.26-4.28 Matthieu 2.13-2.16
11 Wekeni nadhiri, mkaziondoe Kwa Bwana, Mungu wenu. Wote wanaomzunguka wamletee hedaya, Yeye astahiliye kuogopwa.
Psaumes 50.14 Psaumes 68.29 Ecclésiaste 5.4-5.6 Genèse 31.42 Psaumes 89.7
12 Yeye huzikata roho za wakuu; Na kuwatisha wafalme wa dunia.
Psaumes 68.12 Sophonie 3.6 Psaumes 2.5 2 Chroniques 32.21 Psaumes 2.10

Cette Bible est dans le domaine public.