Victoire de la puissance de Dieu
 1 Katika Yuda Mungu amejulikana, Katika Israeli jina lake ni kuu.
Psaumes 4.1  1 Chroniques 29.10-29.12  2 Chroniques 2.5-2.6  Deutéronome 4.34-4.36  Psaumes 148.13-148.14  
 2 Kibanda chake pia kiko Salemu, Na maskani yake iko Sayuni.
Genèse 14.18  Esaïe 12.6  2 Chroniques 6.6  Psaumes 132.13-132.14  Lamentations 2.6  
 3 Huko ndiko alikoivunja mishale ya uta, Ngao, na upanga, na zana za vita.
Psaumes 46.9  Ezéchiel 39.9-39.10  Ezéchiel 39.3-39.4  2 Chroniques 32.21  2 Chroniques 20.25  
 4 Wewe U mwenye fahari na adhama, Toka milima ya mateka.
Ezéchiel 19.1-19.4  Ezéchiel 19.6  Daniel 7.17-7.28  Daniel 7.4-7.8  Jérémie 4.7  
 5 Wametekwa wenye moyo thabiti; Wamelala usingizi; Wala hawakuiona mikono yao Watu wote walio hodari.
Esaïe 46.12  Psaumes 13.3  Nahum 3.18  Jérémie 51.39  Esaïe 37.36  
 6 Kwa kukemea kwako, Ee Mungu wa Yakobo, Gari na farasi wameshikwa na usingizi mzito.Exode 15.1  Exode 15.21  Psaumes 80.16  Psaumes 18.15  Jérémie 51.39  
 7 Wewe ndiwe utishaye, naam, Wewe; Naye ni nani awezaye kusimama ufanyapo hasira?
Nahum 1.6  Psaumes 89.7  1 Corinthiens 10.22  Psaumes 2.12  Apocalypse 14.7  
 8 Toka mbinguni ulitangaza hukumu; Nchi iliogopa, ikakaa kimya.
2 Chroniques 20.29-20.30  Habakuk 2.20  2 Chroniques 32.20-32.22  Exode 19.10  Ezéchiel 38.20-38.23  
 9 Mungu aliposimama ili kuhukumu Na kuwaokoa wapole wa dunia wote pia.
Esaïe 11.4  Psaumes 72.4  Sophonie 2.3  Psaumes 25.9  1 Pierre 3.4  
 10 Maana hasira ya binadamu itakusifu, Masalio ya hasira utajifunga kama mshipi.
Romains 9.17  Psaumes 65.7  Exode 15.9-15.11  Genèse 37.18-37.20  Exode 9.16-9.17  
 11 Wekeni nadhiri, mkaziondoe Kwa Bwana, Mungu wenu. Wote wanaomzunguka wamletee hedaya, Yeye astahiliye kuogopwa.
Psaumes 68.29  Psaumes 50.14  Psaumes 89.7  Ecclésiaste 5.4-5.6  Genèse 31.42  
 12 Yeye huzikata roho za wakuu; Na kuwatisha wafalme wa dunia.
Sophonie 3.6  Psaumes 68.12  Psaumes 2.5  2 Chroniques 32.21  Psaumes 2.10