Victoire de la puissance de Dieu
 1  Katika Yuda Mungu amejulikana, Katika Israeli jina lake ni kuu. 
Psaumes 4.1  2 Chroniques 2.5-2.6  Deutéronome 4.34-4.36  Psaumes 148.13-148.14  Actes 17.23  
 2  Kibanda chake pia kiko Salemu, Na maskani yake iko Sayuni. 
Genèse 14.18  2 Chroniques 6.6  Psaumes 132.13-132.14  Lamentations 2.6  Psaumes 27.5  
 3  Huko ndiko alikoivunja mishale ya uta, Ngao, na upanga, na zana za vita. 
Psaumes 46.9  Ezéchiel 39.9-39.10  Ezéchiel 39.3-39.4  2 Chroniques 20.25  2 Chroniques 14.12-14.13  
 4  Wewe U mwenye fahari na adhama, Toka milima ya mateka. 
Ezéchiel 19.1-19.4  Daniel 7.17-7.28  Daniel 7.4-7.8  Jérémie 4.7  Ezéchiel 38.12-38.13  
 5  Wametekwa wenye moyo thabiti; Wamelala usingizi; Wala hawakuiona mikono yao Watu wote walio hodari. 
Esaïe 46.12  Nahum 3.18  Psaumes 13.3  Jérémie 51.39  Esaïe 37.36  
 6  Kwa kukemea kwako, Ee Mungu wa Yakobo, Gari na farasi wameshikwa na usingizi mzito. 
Exode 15.1  Exode 15.21  Psaumes 80.16  Jérémie 51.39  Esaïe 37.36  
 7  Wewe ndiwe utishaye, naam, Wewe; Naye ni nani awezaye kusimama ufanyapo hasira? 
Nahum 1.6  Psaumes 89.7  Psaumes 2.12  Apocalypse 14.7  Jérémie 10.7-10.10  
 8  Toka mbinguni ulitangaza hukumu; Nchi iliogopa, ikakaa kimya. 
2 Chroniques 20.29-20.30  Habakuk 2.20  Exode 19.10  Ezéchiel 38.20-38.23  1 Chroniques 16.30  
 9  Mungu aliposimama ili kuhukumu Na kuwaokoa wapole wa dunia wote pia. 
Psaumes 72.4  Sophonie 2.3  Psaumes 25.9  1 Pierre 3.4  Psaumes 149.4  
 10  Maana hasira ya binadamu itakusifu, Masalio ya hasira utajifunga kama mshipi. 
Psaumes 65.7  Exode 15.9-15.11  Genèse 37.18-37.20  Exode 9.16-9.17  Actes 4.26-4.28  
 11  Wekeni nadhiri, mkaziondoe Kwa Bwana, Mungu wenu. Wote wanaomzunguka wamletee hedaya, Yeye astahiliye kuogopwa. 
Psaumes 50.14  Psaumes 68.29  Psaumes 89.7  Ecclésiaste 5.4-5.6  Genèse 31.42  
 12  Yeye huzikata roho za wakuu; Na kuwatisha wafalme wa dunia. 
Psaumes 68.12  Sophonie 3.6  Psaumes 2.5  2 Chroniques 32.21  Psaumes 2.10