1 Katika Yuda Mungu amejulikana, Katika Israeli jina lake ni kuu.
Psaumes 4.1  Psaumes 148.13-148.14  Actes 17.23  Psaumes 98.2-98.3  Daniel 3.29  
 2 Kibanda chake pia kiko Salemu, Na maskani yake iko Sayuni.
Genèse 14.18  Psaumes 132.13-132.14  Lamentations 2.6  Psaumes 27.5  Psaumes 9.11  
 3 Huko ndiko alikoivunja mishale ya uta, Ngao, na upanga, na zana za vita.
Psaumes 46.9  Ezéchiel 39.9-39.10  Ezéchiel 39.3-39.4  2 Chroniques 14.12-14.13  Esaïe 37.35-37.36  
 4 Wewe U mwenye fahari na adhama, Toka milima ya mateka.
Ezéchiel 19.1-19.4  Daniel 7.17-7.28  Daniel 7.4-7.8  Jérémie 4.7  Ezéchiel 38.12-38.13  
 5 Wametekwa wenye moyo thabiti; Wamelala usingizi; Wala hawakuiona mikono yao Watu wote walio hodari.
Esaïe 46.12  Nahum 3.18  Psaumes 13.3  Jérémie 51.39  Daniel 4.37  
 6 Kwa kukemea kwako, Ee Mungu wa Yakobo, Gari na farasi wameshikwa na usingizi mzito.
Exode 15.1  Exode 15.21  Psaumes 80.16  Esaïe 37.36  Exode 15.4-15.6  
 7 Wewe ndiwe utishaye, naam, Wewe; Naye ni nani awezaye kusimama ufanyapo hasira?
Nahum 1.6  Psaumes 89.7  Jérémie 10.7-10.10  1 Chroniques 16.25  Psaumes 90.11  
 8 Toka mbinguni ulitangaza hukumu; Nchi iliogopa, ikakaa kimya.
2 Chroniques 20.29-20.30  Habakuk 2.20  1 Chroniques 16.30  Juges 5.20  Zacharie 2.13  
 9 Mungu aliposimama ili kuhukumu Na kuwaokoa wapole wa dunia wote pia.
Psaumes 25.9  1 Pierre 3.4  Psaumes 149.4  Psaumes 82.2-82.5  Jérémie 5.28  
 10 Maana hasira ya binadamu itakusifu, Masalio ya hasira utajifunga kama mshipi.
Genèse 37.18-37.20  Exode 9.16-9.17  Actes 4.26-4.28  Matthieu 2.13-2.16  Matthieu 24.22  
 11 Wekeni nadhiri, mkaziondoe Kwa Bwana, Mungu wenu. Wote wanaomzunguka wamletee hedaya, Yeye astahiliye kuogopwa.
Psaumes 68.29  Psaumes 50.14  Ecclésiaste 5.4-5.6  Genèse 31.42  Psaumes 89.7  
 12 Yeye huzikata roho za wakuu; Na kuwatisha wafalme wa dunia.Psaumes 68.12  Sophonie 3.6  2 Chroniques 32.21  Psaumes 2.10  Esaïe 13.6-13.8