Fermer le panneau de recherche

Appuyez sur Entrée pour rechercher ou ESC pour annuler.

Psaumes 76
Bible en Swahili de l’est


Victoire de la puissance de Dieu

1 Katika Yuda Mungu amejulikana, Katika Israeli jina lake ni kuu.
Psaumes 4.1 Psaumes 54.1 1 Chroniques 29.10-29.12 2 Chroniques 2.5-2.6 Deutéronome 4.34-4.36
2 Kibanda chake pia kiko Salemu, Na maskani yake iko Sayuni.
Genèse 14.18 Hébreux 7.1-7.2 Esaïe 12.6 2 Chroniques 6.6 Psaumes 132.13-132.14
3 Huko ndiko alikoivunja mishale ya uta, Ngao, na upanga, na zana za vita.
Psaumes 46.9 Ezéchiel 39.9-39.10 Ezéchiel 39.3-39.4 Esaïe 37.35-37.36 2 Chroniques 32.21
4 Wewe U mwenye fahari na adhama, Toka milima ya mateka.
Ezéchiel 19.1-19.4 Ezéchiel 38.12-38.13 Ezéchiel 19.6 Daniel 7.17-7.28 Daniel 7.4-7.8
5 Wametekwa wenye moyo thabiti; Wamelala usingizi; Wala hawakuiona mikono yao Watu wote walio hodari.
Esaïe 46.12 Psaumes 13.3 Nahum 3.18 Jérémie 51.39 Esaïe 37.36
6 Kwa kukemea kwako, Ee Mungu wa Yakobo, Gari na farasi wameshikwa na usingizi mzito.
Exode 15.1 Exode 15.21 Psaumes 80.16 2 Samuel 10.18 Psaumes 18.15
7 Wewe ndiwe utishaye, naam, Wewe; Naye ni nani awezaye kusimama ufanyapo hasira?
Nahum 1.6 Psaumes 89.7 Matthieu 10.28 1 Corinthiens 10.22 Psaumes 2.12
8 Toka mbinguni ulitangaza hukumu; Nchi iliogopa, ikakaa kimya.
2 Chroniques 20.29-20.30 Habakuk 2.20 Psaumes 46.10 2 Chroniques 32.20-32.22 Exode 19.10
9 Mungu aliposimama ili kuhukumu Na kuwaokoa wapole wa dunia wote pia.
Matthieu 5.5 Esaïe 11.4 Psaumes 72.4 Sophonie 2.3 Psaumes 25.9
10 Maana hasira ya binadamu itakusifu, Masalio ya hasira utajifunga kama mshipi.
Daniel 3.19-3.20 Romains 9.17 Psaumes 65.7 Exode 15.9-15.11 Genèse 37.18-37.20
11 Wekeni nadhiri, mkaziondoe Kwa Bwana, Mungu wenu. Wote wanaomzunguka wamletee hedaya, Yeye astahiliye kuogopwa.
Psaumes 68.29 Psaumes 50.14 Genèse 31.42 Psaumes 89.7 Ecclésiaste 5.4-5.6
12 Yeye huzikata roho za wakuu; Na kuwatisha wafalme wa dunia.
Sophonie 3.6 Psaumes 68.12 Psaumes 2.5 2 Chroniques 32.21 Psaumes 2.10

Cette Bible est dans le domaine public.