Fermer le panneau de recherche

Appuyez sur Entrée pour rechercher ou ESC pour annuler.

Psaumes 41.3
Bible en Swahili de l’est


Prière d’un homme trahi par son ami

1 Heri amkumbukaye mnyonge; Bwana atamwokoa siku ya taabu.
Proverbes 14.21 Proverbes 19.17 Actes 20.35 Hébreux 6.10 2 Corinthiens 9.8-9.14
2 Bwana atamlinda na kumhifadhi hai, Naye atafanikiwa katika nchi; Wala usimtie katika hali wamtakiayo adui zake.
Psaumes 27.12 Psaumes 140.8-140.9 Psaumes 37.32-37.33 Jérémie 45.4-45.5 Psaumes 91.3-91.7
3 Bwana atamtegemeza alipo mgonjwa kitandani. Katika ugonjwa wake umemtandikia.
Psaumes 73.26 2 Rois 1.16 2 Corinthiens 4.16-4.17 2 Rois 1.6 Philippiens 2.26-2.27
4 Nami nalisema, Bwana, unifadhili, Uniponye roho yangu maana nimekutenda dhambi.
Psaumes 147.3 Psaumes 103.3 Osée 6.1 Jacques 5.15-5.16 Psaumes 6.2-6.4
5 Adui zangu wananitaja kwa maneno mabaya, Atakufa lini, jina lake likapotea?
Job 20.7 Job 18.17 Psaumes 22.6-22.8 Psaumes 38.12 Proverbes 10.7
6 Na mmoja wao akija kunitazama asema uongo, Moyo wake hujikusanyia maovu, Naye atokapo nje huyanena.
Psaumes 12.2 Proverbes 26.24-26.26 Michée 7.5-7.7 Luc 20.20-20.23 2 Corinthiens 11.26
7 Wote wanaonichukia wananinong’ona, Wananiwazia mabaya.
Proverbes 16.28 Proverbes 26.20 Psaumes 56.5-56.6 Matthieu 26.3-26.4 2 Corinthiens 12.20
8 Neno la kisirani limemgandama, Na iwapo amelala hatasimama tena.
Psaumes 71.11 Matthieu 27.63-27.64 Psaumes 3.2 Job 2.7-2.8 Matthieu 27.41-27.46
9 Msiri wangu tena niliyemtumaini, Aliyekula chakula changu, Ameniinulia kisigino chake.
Jean 13.18 Job 19.19 2 Samuel 15.12 Jérémie 20.10 Job 19.13
10 Lakini Wewe, Bwana, unifadhili, Uniinue nipate kuwalipa.
Psaumes 3.3 Luc 19.27 Psaumes 21.8-21.10 Psaumes 69.22-69.28 Psaumes 18.37-18.42
11 Kwa neno hili nimejua ya kuwa wapendezwa nami, Kwa kuwa adui yangu hasimangi kwa kunishinda.
Jérémie 20.13 Psaumes 147.11 Psaumes 25.2 Psaumes 31.8 Psaumes 13.4
12 Nami katika ukamilifu wangu umenitegemeza, Umeniweka mbele za uso wako milele.
Job 36.7 Psaumes 94.18 Psaumes 73.23-73.24 Psaumes 16.11 Psaumes 37.17
13 Na atukuzwe Bwana, Mungu wa Israeli, Tangu milele hata milele. Amina na Amina.
Psaumes 72.18-72.19 Ephésiens 1.3 Psaumes 106.48 Psaumes 89.52 Apocalypse 5.9-5.14

Cette Bible est dans le domaine public.