Fermer le panneau de recherche

Appuyez sur Entrée pour rechercher ou ESC pour annuler.

Psaumes 19.11
Bible en Swahili de l’est


Les œuvres et la parole de Dieu

1 Mbingu zauhubiri utukufu wa Mungu, Na anga laitangaza kazi ya mikono yake.
Romains 1.19-1.20 Psaumes 50.6 Genèse 1.14-1.15 Psaumes 8.3 Psaumes 148.3-148.4
2 Mchana husemezana na mchana, Usiku hutolea usiku maarifa.
Psaumes 74.16 Genèse 8.22 Psaumes 136.8-136.9 Psaumes 134.1-134.3 Psaumes 78.3-78.6
3 Hakuna lugha wala maneno, Sauti yao haisikilikani.
Deutéronome 4.19
4 Sauti yao imeenea duniani mwote, Na maneno yao hata miisho ya ulimwengu. Katika hizo ameliwekea jua hema,
Romains 10.18 Psaumes 104.2 Genèse 1.14-1.18 Psaumes 98.3 Malachie 4.2
5 Kama bwana arusi akitoka chumbani mwake, Lafurahi kama mtu aliye hodari Kwenda mbio katika njia yake.
1 Corinthiens 9.24-9.26 Ecclésiaste 1.5 Hébreux 12.1-12.2 Esaïe 62.5 Philippiens 3.13-3.14
6 Kutoka kwake lautoka mwisho wa mbingu, Na kuzunguka kwake hata miisho yake, Wala kwa hari yake Hakuna kitu kilichositirika.
Ecclésiaste 1.5 Colossiens 1.23 Job 25.3 Job 22.14 Psaumes 113.3
7 Sheria ya Bwana ni kamilifu, Huiburudisha nafsi. Ushuhuda wa Bwana ni amini, Humtia mjinga hekima.
Psaumes 111.7 Psaumes 119.130 Psaumes 23.3 Psaumes 119.105 Proverbes 1.4
8 Maagizo ya Bwana ni ya adili, Huufurahisha moyo. Amri ya Bwana ni safi, Huyatia macho nuru.
Psaumes 12.6 Psaumes 119.128 Psaumes 119.105 Proverbes 6.23 Romains 7.22
9 Kicho cha Bwana ni kitakatifu, Kinadumu milele. Hukumu za Bwana ni kweli, Zina haki kabisa.
Psaumes 119.142 1 Samuel 12.24 Psaumes 34.11-34.14 Psaumes 119.1 1 Rois 18.3-18.4
10 Ni za kutamanika kuliko dhahabu, Kuliko wingi wa dhahabu safi. Nazo ni tamu kuliko asali, Kuliko sega la asali.
Psaumes 119.72 Psaumes 119.127 Psaumes 119.103 Proverbes 16.16 Proverbes 8.10-8.11
11 Tena mtumishi wako huonywa kwazo, Katika kuzishika kuna thawabu nyingi.
Proverbes 29.18 2 Jean 1.8 Psaumes 119.11 Matthieu 6.4 Hébreux 11.6-11.7
12 Ni nani awezaye kuyatambua makosa yake? Unitakase na mambo ya siri.
Psaumes 90.8 Psaumes 139.23-139.24 1 Corinthiens 4.4 Jérémie 17.9 1 Jean 1.7
13 Umzuie mtumishi wako asitende mambo ya kiburi, Yasinitawale mimi. Ndipo nitakapokuwa kamili, Nami nitakuwa safi, sina kosa lililo kubwa.
Psaumes 119.133 Romains 6.12-6.14 Psaumes 7.10 1 Samuel 25.39 Genèse 20.6
14 Maneno ya kinywa changu, Na mawazo ya moyo wangu, Yapate kibali mbele zako, Ee Bwana, Mwamba wangu, na mwokozi wangu.
Psaumes 104.34 Psaumes 51.15 Psaumes 119.108 Psaumes 66.18-66.20 Psaumes 18.1-18.2

Cette Bible est dans le domaine public.