Fermer le panneau de recherche

Appuyez sur Entrée pour rechercher ou ESC pour annuler.

Psaumes 17
Bible en Swahili de l’est


Prière du juste persécuté

1 Ee Bwana, usikie haki, ukisikilize kilio changu, Utege sikio lako kwa maombi yangu, Yasiyotoka katika midomo ya hila.
Psaumes 142.6 Psaumes 61.1 Psaumes 86.1 Psaumes 43.1 Psaumes 18.20
2 Hukumu yangu na itoke kwako, Macho yako na yatazame mambo ya adili.
Psaumes 37.6 Jude 1.24 Ezéchiel 33.17 Ezéchiel 33.20 Ezéchiel 18.29
3 Umenijaribu moyo wangu, umenijilia usiku, Umenihakikisha usione neno; Nimenuia kinywa changu kisikose,
Job 23.10 1 Pierre 1.7 Psaumes 39.1 Psaumes 66.10 Zacharie 13.9
4 Mintarafu matendo ya wanadamu; Kwa neno la midomo yako Nimejiepusha na njia za wenye jeuri.
Psaumes 119.9-119.11 Jean 17.17 Psaumes 14.1-14.3 1 Corinthiens 3.3 Matthieu 4.7
5 Nyayo zangu zimeshikamana na njia zako, Hatua zangu hazikuondoshwa.
Psaumes 18.36 Psaumes 119.133 Psaumes 44.18 Psaumes 38.16 Jérémie 10.23
6 Ee Mungu, nimekuita kwa maana utaitika, Utege sikio lako ulisikie neno langu.
Psaumes 116.2 Psaumes 86.7 Psaumes 13.3-13.4 Daniel 9.17-9.19 Esaïe 37.17
7 Dhihirisha fadhili zako za ajabu Wewe uwaokoaye wanaokukimbilia; Kwa mkono wako wa kuume Uwaokoe nao wanaowaondokea.
Psaumes 31.21 Psaumes 20.6 Psaumes 78.12 Psaumes 60.5 Actes 2.33
8 Unilinde kama mboni ya jicho, Unifiche chini ya uvuli wa mbawa zako;
Deutéronome 32.10 Psaumes 63.7 Psaumes 91.1 Psaumes 57.1 Zacharie 2.8
9 Wasinione wasio haki wanaonionea, Adui za roho yangu wanaonizunguka.
Psaumes 35.4 1 Samuel 24.11 Psaumes 7.5 Psaumes 31.20 Psaumes 35.12
10 Wameukaza moyo wako, Kwa vinywa vyao hutoa majivuno.
1 Samuel 2.3 Psaumes 31.18 Job 15.27 Psaumes 119.70 Exode 15.9
11 Sasa wametuzunguka hatua zetu, Na kuyakaza macho yao watuangushe chini.
1 Samuel 26.2-26.3 1 Samuel 24.2-24.3 Psaumes 37.14 1 Samuel 23.26 Proverbes 6.13-6.14
12 Kama mfano wa simba atakaye kurarua, Kama mwana-simba aoteaye katika maoteo yake.
Psaumes 7.2 Psaumes 10.9 1 Pierre 5.8 2 Timothée 4.17 Psaumes 22.13
13 Ee Bwana, usimame, umkabili, umwinamishe, Kwa upanga wako uniokoe nafsi na mtu mbaya.
Psaumes 3.7 Actes 4.28 Psaumes 119.126 Esaïe 10.15 Esaïe 37.26
14 Ee Bwana, kwa mkono wako uniokoe na watu, Watu wa dunia hii ambao fungu lao li katika maisha haya. Matumbo yao wayajaza kwa hazina yako, Hushiba wana, huwaachia watoto wao akiba zao,
Luc 16.25 Luc 16.8 Luc 12.19-12.21 Psaumes 49.17-49.19 Jean 8.23
15 Bali mimi nikutazame uso wako katika haki, Niamkapo nishibishwe kwa sura yako.
Psaumes 16.11 Psaumes 11.7 Philippiens 3.21 Apocalypse 21.23 Esaïe 26.19

Cette Bible est dans le domaine public.