Fermer le panneau de recherche

Appuyez sur Entrée pour rechercher ou ESC pour annuler.

Psaumes 11.3
Bible en Swahili de l’est


Confiance dans l’intervention de Dieu

1 Bwana ndiye niliyemkimbilia. Mbona mnaiambia nafsi yangu, Kimbia kama ndege mlimani kwenu?
Psaumes 56.11 1 Samuel 23.14 Luc 13.31 2 Chroniques 16.8 Psaumes 25.2
2 Maana, tazama, wasio haki wanaupinda uta, Wanaitia mishale yao katika upote, Ili kuwapiga gizani wanyofu wa moyo.
Psaumes 7.10 Psaumes 21.12 Jérémie 9.3 Psaumes 37.14 Psaumes 10.8-10.9
3 Kama misingi ikiharibika, Mwenye haki atafanya nini?
Psaumes 82.5 2 Timothée 2.19 Actes 4.24-4.33 Néhémie 6.10-6.12 Psaumes 75.3
4 Bwana yu katika hekalu lake takatifu. Bwana ambaye kiti chake kiko mbinguni, Macho yake yanaangalia; Kope zake zinawajaribu wanadamu.
Psaumes 18.6 Psaumes 103.19 Esaïe 66.1 Habakuk 2.20 Matthieu 5.34
5 Bwana humjaribu mwenye haki; Bali nafsi yake humchukia asiye haki, Na mwenye kupenda udhalimu.
Jacques 1.12 Genèse 22.1 Psaumes 26.2 Psaumes 139.1 Zacharie 11.8
6 Awanyeshee wasio haki mitego, Moto na kiberiti na upepo wa hari, Na viwe fungu la kikombe chao.
Ezéchiel 38.22 Psaumes 75.8 Genèse 19.24 Job 18.15 Genèse 43.34
7 Kwa kuwa Bwana ndiye mwenye haki, Apenda matendo ya haki, Wanyofu wa moyo watamwona uso wake.
Psaumes 45.7 Psaumes 17.15 Psaumes 33.5 Psaumes 5.12 Job 36.7

Cette Bible est dans le domaine public.