Fermer le panneau de recherche

Appuyez sur Entrée pour rechercher ou ESC pour annuler.

Esther 10.3
Bible en Swahili de l’est


1 Basi mfalme Ahasuero alitoza kodi katika nchi na katika visiwa vya bahari.Esaïe 24.15 Psaumes 72.10 Genèse 10.5 Esaïe 11.11 Esther 1.1
2 Na matendo yake yote yenye nguvu na ya ushujaa, na habari zote za ukuu wake Mordekai ambao alipewa na mfalme, hazikuandikwa katika kitabu-cha-taarifa cha wafalme wa Umedi na Uajemi?Esther 8.15 Esther 2.23 Esther 9.4 Esther 6.1 Psaumes 18.35
3 Kwa maana Mordekai Myahudi akawa wa pili wake mfalme Ahasuero, na mkuu wa Wayahudi, amependeza mbele ya jamii ya ndugu zake; ambaye aliwatafuta watu wake wema, na kuiangalia hali njema ya wazao wao wote.Néhémie 2.10 2 Chroniques 28.7 Psaumes 122.6-122.9 Daniel 5.29 Romains 14.18

Cette Bible est dans le domaine public.