Récompense et certitude du juste
 1 Mungu, unihifadhi mimi, Kwa maana nakukimbilia Wewe.
Psaumes 56.1  Psaumes 17.8  Psaumes 146.5  Psaumes 31.23  2 Timothée 1.12  
 2 Nimemwambia Bwana, Ndiwe Bwana wangu; Sina wema ila utokao kwako.Psaumes 31.14  Psaumes 91.2  Psaumes 73.25  Zacharie 13.9  Jean 20.28  
 3 Watakatifu waliopo duniani ndio Walio bora, Hao ndio niliopendezwa nao.
Hébreux 6.10  Malachie 3.17  Tite 3.8  Psaumes 119.63  Ephésiens 1.1  
 4 Huzuni zao zitaongezeka Wambadilio Mungu kwa mwingine; Sitazimimina sadaka zao za damu, Wala kuyataja majina yao midomoni mwangu.
Exode 23.13  Psaumes 32.10  Josué 23.7  Jonas 2.8  Psaumes 97.7  
 5 Bwana ndiye fungu la posho langu, Na la kikombe changu; Wewe unaishika kura yangu.
Lamentations 3.24  Psaumes 73.26  Psaumes 23.5  Psaumes 119.57  Psaumes 142.5  
 6 Kamba zangu zimeniangukia mahali pema, Naam, nimepata urithi mzuri.
Jérémie 3.19  Psaumes 78.55  Psaumes 21.1-21.3  Ephésiens 1.18  Philippiens 2.9-2.11  
 7 Nitamhimidi Bwana aliyenipa shauri, Naam, mtima wangu umenifundisha usiku.
Psaumes 77.6  Psaumes 42.8  Psaumes 73.24  Psaumes 17.3  Apocalypse 2.23  
 8 Nimemweka Bwana mbele yangu daima, Kwa kuwa yuko kuumeni kwangu, sitaondoshwa.
Psaumes 73.23  Actes 2.25-2.28  Psaumes 110.5  Psaumes 121.5  Psaumes 109.31  
 9 Kwa hiyo moyo wangu unafurahi, Nao utukufu wangu unashangilia, Naam, mwili wangu nao utakaa kwa kutumaini.
Psaumes 30.12  Psaumes 57.8  Job 14.14-14.15  Job 19.26-19.27  1 Thessaloniciens 4.13-4.14  
 10 Maana hutakuachia kuzimu nafsi yangu, Wala hutamtoa mtakatifu wako aone uharibifu.
Psaumes 49.15  Actes 13.35-13.38  Apocalypse 20.13  Actes 2.27-2.31  Apocalypse 1.18  
 11 Utanijulisha njia ya uzima; Mbele za uso wako ziko furaha tele; Na katika mkono wako wa kuume Mna mema ya milele.
Actes 2.28  Apocalypse 7.15-7.17  Psaumes 21.4-21.6  Psaumes 36.7-36.8  Matthieu 7.14