Accueil  /  Bible  /  Bible en Swahili de l’est  /  Esther 10.1

La Bible Bible en Swahili de l’est

Esther 10

Un clic sur un verset envoie vers le comparateur de versions.

Chapitre 9

Rôle de Mardochée

1 Basi mfalme Ahasuero alitoza kodi katika nchi na katika visiwa vya bahari.
2 Na matendo yake yote yenye nguvu na ya ushujaa, na habari zote za ukuu wake Mordekai ambao alipewa na mfalme, hazikuandikwa katika kitabu-cha-taarifa cha wafalme wa Umedi na Uajemi?
3 Kwa maana Mordekai Myahudi akawa wa pili wake mfalme Ahasuero, na mkuu wa Wayahudi, amependeza mbele ya jamii ya ndugu zake; ambaye aliwatafuta watu wake wema, na kuiangalia hali njema ya wazao wao wote.

Vous êtes actuellement sur une version optimisée pour mobile, si vous souhaitez basculer sur la version complète suivez le lien suivant : Esther 10.1 (Lemaîtstre de Sacy)

Cette Bible est dans le domaine public.